Ushauri nimuoe huyu singo maza

Ushauri nimuoe huyu singo maza

🚶‍♀️🚶‍♀️🚶🚶‍♀️🚶‍♀ ⚰️🚶‍♂️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶🚶‍♂️🚶‍♀️🚶
 
Kama jina lako lilivyo Think2 nadhani linamaanisha 'think twice'.

Haya kazi ni kwako maana kila aliyejaribu kuoa single maza ameishia kulialia mwisho wa siku.

Mwanamke hazai na mwanaume asiyempenda hilo ishi nalo mkuu. Ni suala la muda tu mshikaji ataendelea kummega.
 
Waja naomba mnishauri kuhusu huyu singo maza

Kuna singo maza nimepiga sound akajaa kwenye mfumo ni kibinti kina 23 tu
Afu kananiambia nikaoe nikaweke ndani

Shida anamtoto miaka 2 tu afu bado wanawasiliana na baba wa mtoto nikikaoa kataniletea shida maana nikarembo kafundi cherehani afu kana mzigo wa haja na mimi sio mtu wa kukaa sana wahuni hawatanigongea kweli?
Kijana kunywa konyagi akili akikue Sawa kidogo.

Achana na huo ujinga kabisa.
 
Waja naomba mnishauri kuhusu huyu singo maza

Kuna singo maza nimepiga sound akajaa kwenye mfumo ni kibinti kina 23 tu
Afu kananiambia nikaoe nikaweke ndani

Shida anamtoto miaka 2 tu afu bado wanawasiliana na baba wa mtoto nikikaoa kataniletea shida maana nikarembo kafundi cherehani afu kana mzigo wa haja na mimi sio mtu wa kukaa sana wahuni hawatanigongea kweli?

View: https://vt.tiktok.com/ZSq2V9nMq/
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom