Nawe ni mtoto?Nimesusiwa mtoto wa miaka 3 je atakua?
Ni PmNimesusiwa mtoto wa miaka 3. Je, atakua?
The best question ever![emoji38] [emoji38].Khe! Kwanini asikue?
kama ikiwa anaitajika kuishi kwaajiri ya umuhimu wake uliomleta hapa duniani, basi hata kama angeachwa peke yake jangwani bado angeliishi pia.Nimesusiwa mtoto wa miaka 3. Je, atakua?