Nahisi mleta mada ni kijana mdogo sana.huyo ndo basi tena atabaki na miaka yake hiyo hiyo mitatu hatokua
Nahisi mleta mada ni kijana mdogo sana.huyo ndo basi tena atabaki na miaka yake hiyo hiyo mitatu hatokua
Mimi natamani anisusie ili nimlee mwenyewe. Sema jimwanamke lenyewe jeuri kinoma
hahahaha unachekesha sana wewe kwanza ni wa kiume ama wa kike wewe?Nimesusiwa mtoto wa miaka 3. Je, atakua?
Wafe wako kwa iman yangu c wanguAhaha atakufa huyo
Kama huna hoja ya kuchangia bora ukakaakimya kwa uwepo wako humu kichefuchefu kwetu hina hoja za maana kajiunge na maganduro wewAhaha atakufa huyo
Atakuja kugombea urais na kuziba pengo alioacha Mheshimiwa Jembe Lowassa au vipi?Atakua rais.
Yaani mimi macho yangu huwa yanaangukia kwenye huo mkiya wako,yaani nashindwa kusoma mchango wako.Hahaha... Unachokula ww mlishe huyo mtoto.
Kwani wewe ni Mungu utakuwa unamshika kila siku kichwani na kumvuta kwa kusema mwanagu "Kua" au "dumaa"?Nimesusiwa mtoto wa miaka 3. Je, atakua?
Labda kama una mpango wa kumuua ndio hatakua. Au umesahau wewe unahitaji nini ili uishi? Na yeye ni hivyo hivyo.Nimesusiwa mtoto wa miaka 3. Je, atakua?
Kubwa hajielewi!!!IPO sababu ya wew kususiwa Mtoto jichunguze vizuri
Wewe unaonaje?Nimesusiwa mtoto wa miaka 3. Je, atakua?
Ah ah ah ah . unakimbia kuigawa pesa yako eeh. UmenichekeshaMimi natamani anisusie ili nimlee mwenyewe. Sema jimwanamke lenyewe jeuri kinoma