LadyAJ
JF-Expert Member
- Oct 21, 2015
- 7,173
- 9,656
Atakua tu! Fikiria wale wanaofiwa na mama zao wangali wachanga wanawezaje kukua uyo wako akashindwa kukua? Mpe malezi bora mpe upendo mpe chakula bora na zaidi muhakikishie usalama wake wa kulindwa na kupewa haki zote za watoto utashangaa tu kijana uyoo kama mchicha unavyochipua