Ushauri: Nimesusiwa mtoto wa miaka mitatu

Ushauri: Nimesusiwa mtoto wa miaka mitatu

Sasa umeachiwa mtoto anayeweza kuongea na kusema kuwa anataka kujisaidia, unafikiria utamleaje?
Je ungeachiwa wa miezi miwili na jinsi wanavyojinyea na kujikojolea ungeweza kumsafisha kwel?
 
Huu upuuzi mtupu..ili nalo la kuombea ushauri?kwani hauna ndugu nkimaanisha mama,Dada,kaka.peleka uko wakusaidie kulea kama hauwez kujiongeza.
 
Ungeomba ushauri wakati wa kugegedana ingekuwa bora zaidi.
Ila nakushauri muone Sugu wa Chadema atakuopa namna ya kule watoto wa aina hizi.
Wazanzibari mawazo yao ya Kitoto sana Kwa Uharo/Utoko huu Tanganyika tutaitawala Zanzibar Milele Mpaka mtakapopata akili.
 
Back
Top Bottom