Karimu123
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 243
- 114
Habari wakuu kwema,
Miezi michache iliyopita kama 7 mpaka sasa nilipata dada mmoja hivi ila nilikuwa na wasiwasi maana niliona kama kanizidi akili maana kapitia vingi nilimkatalia akanilazimisha nikaona fresh so tukawa nae nikampa moyo wangu wote maana nilikuwa sitaki kubanduka kwake nilimpenda kuliko kawaida.
Lakini nilikujagungua mimi ni daraja lake mafanikio maana kitandani honestly nilikuwa siko vizuri nikamwambia ok nitafind tiba ila usifanyie makusudi lakini hakusikia, nikawa nasikia kwa watu mara yupo na nani, sijui anamsindikiza nani nikaona ok sina haja kujibizana nikawa kimya.
Sasa boss wake alisafiri kumbe alikuwa anatembea nae nilishajua hilo ndo maana nikataka kuachana kwa amani hakuelewa akaja kwangu analia sana nikamwambia nenda mana machozi hayasaidii akaenda akarudi na kilio mara mbili nikaona isiwe shida nimsamehe atajirekebisha.
Ila nikasema nitamfuatilia nikamfuatilia nikamuona boss wake anakuja kwako kama saa nne akalala mpaka asubuhi sikutaka kuleta varangati nikachukuka malapa yake nikatupa, sasa huyu msichana anakejeli anajaribu ili kunisumbua nilishauadi nikamuambia ukifanya kitu mbaya nitakufanyia kitu kibaya hutakaa unisahau.
Leo nilipiga pombe kidogo nikamfuta kwako nikampiga simu nikaona anajibu nusu nusu nikaingia mlangoni nikagonga alivyotoka nilimpa kibao moja nikamsukuma nikamwambia kesho nikiona simu yako kwako kwangu nitamuua nikasepa, niambieni wakuu kama nimekosea.
NOTE; I hate being cheated maana sijawahi hata kumsaliti nampa chance kibao kwanini afanye hivyo sasahivi hasira 0%.
Nawasilisha wakuu
Miezi michache iliyopita kama 7 mpaka sasa nilipata dada mmoja hivi ila nilikuwa na wasiwasi maana niliona kama kanizidi akili maana kapitia vingi nilimkatalia akanilazimisha nikaona fresh so tukawa nae nikampa moyo wangu wote maana nilikuwa sitaki kubanduka kwake nilimpenda kuliko kawaida.
Lakini nilikujagungua mimi ni daraja lake mafanikio maana kitandani honestly nilikuwa siko vizuri nikamwambia ok nitafind tiba ila usifanyie makusudi lakini hakusikia, nikawa nasikia kwa watu mara yupo na nani, sijui anamsindikiza nani nikaona ok sina haja kujibizana nikawa kimya.
Sasa boss wake alisafiri kumbe alikuwa anatembea nae nilishajua hilo ndo maana nikataka kuachana kwa amani hakuelewa akaja kwangu analia sana nikamwambia nenda mana machozi hayasaidii akaenda akarudi na kilio mara mbili nikaona isiwe shida nimsamehe atajirekebisha.
Ila nikasema nitamfuatilia nikamfuatilia nikamuona boss wake anakuja kwako kama saa nne akalala mpaka asubuhi sikutaka kuleta varangati nikachukuka malapa yake nikatupa, sasa huyu msichana anakejeli anajaribu ili kunisumbua nilishauadi nikamuambia ukifanya kitu mbaya nitakufanyia kitu kibaya hutakaa unisahau.
Leo nilipiga pombe kidogo nikamfuta kwako nikampiga simu nikaona anajibu nusu nusu nikaingia mlangoni nikagonga alivyotoka nilimpa kibao moja nikamsukuma nikamwambia kesho nikiona simu yako kwako kwangu nitamuua nikasepa, niambieni wakuu kama nimekosea.
NOTE; I hate being cheated maana sijawahi hata kumsaliti nampa chance kibao kwanini afanye hivyo sasahivi hasira 0%.
Nawasilisha wakuu