MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,512
- 15,125
Siku hizi tunatumia simu hadi mabwenini sio pombe tu watoto tumerahisishiwa kila kituwatoto wameruhusiwa kunywa pombe ?
Siku hizi tunatumia simu hadi mabwenini sio pombe tu watoto tumerahisishiwa kila kituwatoto wameruhusiwa kunywa pombe ?
Nimesoma na kuishi Mahenge/Ulanga - Morogoro kwa Wapogoro, nilijifunza haya;
1. Wanapenda sana wali samaki, hakikisha una gunia la mchele ndani.
2. Hawaachanagi na waume zao wa zamani, yaani wakikutana tu lazima waliamshe dude.
3. Bint na mama yake huwa ni marafiki sana, wanaume wote wa nje hupitia kwa mama ili kuendeleza Penzi.
4.Ukimuoa kila mwezi atadai kwenda kwao kusalimia ilimradi tu akajimwambafai kwao na kwa waume zake.
5. Wanaamini sana kwenye ushirikina, wanawawekea limbwata waume zao na kuwapumbaza akili ili wasahau kwao na ndugu zao.
THANK ME LATER
Mimi ni mpogoro pure hao viumbe nawajua nje ndani,
Sikufichi demu wa kipogoro utaishi nae kwenye hali yeyote ya maisha shida na Raha
Anaweza kua mpogoro lakini kazaliwa na kukulia mwanza. Muangalie mtu wako vile alivyo usifuatishe kabila lake vile utasikia lilivyo.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hiyo siyo sifa ya wapogoro tu ni sifa ya mwanaume yeyote Rijali.
Jazia nyama kidogo mkuuHatari hao wanatoa mkund* balaa
Wanatuonea wivu kwa kuwa wengi wao hawajawahi kufika Dar.Kwan mtu akitoka morogoro akienda dar hajaenda mkoani [emoji23][emoji23][emoji23]
SawaNimesoma na kuishi Mahenge/Ulanga - Morogoro kwa Wapogoro, nilijifunza haya;
1. Wanapenda sana wali samaki, hakikisha una gunia la mchele ndani.
2. Hawaachanagi na waume zao wa zamani, yaani wakikutana tu lazima waliamshe dude.
3. Bint na mama yake huwa ni marafiki sana, wanaume wote wa nje hupitia kwa mama ili kuendeleza Penzi.
4.Ukimuoa kila mwezi atadai kwenda kwao kusalimia ilimradi tu akajimwambafai kwao na kwa waume zake.
5. Wanaamini sana kwenye ushirikina, wanawawekea limbwata waume zao na kuwapumbaza akili ili wasahau kwao na ndugu zao.
THANK ME LATER
,😂😂😂Write your reply...baada ya kutoka kifungoni nimejikuta napenda ugomvi ngoja nitafute wa kuhiingilia
Ulisoma Kwiro?Nimesoma na kuishi Mahenge/Ulanga - Morogoro kwa Wapogoro, nilijifunza haya;
1. Wanapenda sana wali samaki, hakikisha una gunia la mchele ndani.
2. Hawaachanagi na waume zao wa zamani, yaani wakikutana tu lazima waliamshe dude.
3. Bint na mama yake huwa ni marafiki sana, wanaume wote wa nje hupitia kwa mama ili kuendeleza Penzi.
4.Ukimuoa kila mwezi atadai kwenda kwao kusalimia ilimradi tu akajimwambafai kwao na kwa waume zake.
5. Wanaamini sana kwenye ushirikina, wanawawekea limbwata waume zao na kuwapumbaza akili ili wasahau kwao na ndugu zao.
THANK ME LATER
Ulisoma Kwiro?
Hivi hatujawahi kutana kwenye Joint Mass kweli? Maana nilikua Kwiro😀😀Regina Mundi
Sijui, mwaka gani ulikuwa pale Kwiro ?Hivi hatujawahi kutana kwenye Joint Mass kweli? Maana nilikua K