Nandinii
JF-Expert Member
- Jun 19, 2019
- 2,572
- 2,829
Ila mie kuna sifa moja niliisikiaga ya wanaume wapogoro, sijui ni kweli [emoji3][emoji3]...hamjatulia ,macho juu juu
Mimi ni mpogoro pure hao viumbe nawajua nje ndani,
Sikufichi demu wa kipogoro utaishi nae kwenye hali yeyote ya maisha shida na Raha