Nandinii
JF-Expert Member
- Jun 19, 2019
- 2,572
- 2,829
Mmh mi ata sikubaliani nanyi, uongo huo..nyie mna uthibiti gn wa hilo jambo?ni hatari sio kidogo
Mmh mi ata sikubaliani nanyi, uongo huo..nyie mna uthibiti gn wa hilo jambo?ni hatari sio kidogo
ngoja mhusika aje atolee ufafanuzi wa hilo jamboMmh mi ata sikubaliani nanyi, uongo huo..nyie mna uthibiti gn wa hilo jambo?
🤔duh kweliii???Hatari hao wanatoa mkund* balaa
Asante mkuusawa mzee baba. Karibu tuandae mashamba ya mpunga
Ndio bibie pujo tembea uoneDah ,aisee..kumbe hilo kabila ndo lilivyo eh? Ahah
Mmh mi ata sikubaliani nanyi, uongo huo..nyie mna uthibiti gn wa hilo jambo?
Daah kabishi kwelikweli embu kaoneeWe mkaka oa mchumba wako ,wala wasikuogopeshe hao na tabia za uongo walizozitaja...km umempenda oa bila wasi wasi. [emoji3][emoji3][emoji3]
Nimesoma na kuishi Mahenge/Ulanga - Morogoro kwa Wapogoro, nilijifunza haya;
1. Wanapenda sana wali samaki, hakikisha una gunia la mchele ndani.
2. Hawaachanagi na waume zao wa zamani, yaani wakikutana tu lazima waliamshe dude.
3. Bint na mama yake huwa ni marafiki sana, wanaume wote wa nje hupitia kwa mama ili kuendeleza Penzi.
4.Ukimuoa kila mwezi atadai kwenda kwao kusalimia ilimradi tu akajimwambafai kwao na kwa waume zake.
5. Wanaamini sana kwenye ushirikina, wanawawekea limbwata waume zao na kuwapumbaza akili ili wasahau kwao na ndugu zao.
THANK ME LATER
,[emoji3][emoji3] ngoja tumsubiringoja mhusika aje atolee ufafanuzi wa hilo jambo
Dah nitawatembelea siku moja ili na mie nijishuhudieNdio bibie pujo tembea uone
Khaaa bd sijaamini mimi ata kidgMi nilikaa Moro miezi kadhaa bado napendelea kwenda kujificha huko kwahyo consider kama [emoji16][emoji3] ni research nimefanya a non empirical research baada ya kuskia skia maneno nilikuja kuthibitisha still wapo wazuri siunajua kila mtu na tabia yake
[emoji3][emoji3][emoji3] ubishi ndiyo asili yangu... Lkn izo tabia mbona wengine hawana?Daah kabishi kwelikweli embu kaonee
Kabisa yani, hataoa huyu akikaa kusikiliza makabila shauri yake..makabila yote yana viojaaUkistaajabu ya Firaun utashangaa ya Mussa. Kila kabila na hasa ya kiAfrika yana vioja vyao, vinginevyo muoaji hautaoa!!