USHAURI : Nimempa mimba mwanafunzi

Be a man, shit happens!
Unafungwa kwa sababu una hatia (precisely ubakaji)..
Kuna trick hapa,
PLAN A: kama huyo binti ameshafikia umri wa kujielewa, kaa nae mshauri, mwambie unajiskiaje ba mtoto akifungwa miaka 30 jela? unajiskisje kulea mtoto mwenyewe?... kama anajielewa hapo mwambie atengeneze scenario flani kwamba kuna mtu alimbaka na hajui ni nani maana alitekwa (danganya for once) then hapo ikikubalika hiyo story itakuwa imekubali.. if not working use the second approach...
PLAN B: Approach her mother, fanya namna yoyote ukutane nae umweke chini na umweleze kilichotokea, be the saddist here na umweleze kuwa ikienda polisi ni 30yrs na mtoto watamlea wao, though kama atamshauri binti yake namna ya kutengeneza uongo wa kumpiga saund mzee isiende polisi, that way kesi ikipoa baadae unaeza muapproach mzee na kumhonga akusamehe, i mean unaomba msamaha sana na ulipe faini............if that fails
PLAN C: As soon as possible arrange a meeting with her father, we men dont hold the grudge that much, anaweza akakuelewa na mkashauriana namna ya kufanya serikali wasiingilie. In this case anaweza akademand some money kwa ajili ya usumbufu "kamaa ni mzee wa kupenda pesa hapa haikatai".........

Does is worth it kufanya ujanjaujanja huu?? Yes maana ikikubali sawa, ikikataa pia sawa but you tried na being humble and open, hukukataa mimba...

JIONGEZE
 
Hahaha, naona waongo tumekutana, wazee wa kujiongeza on the spot
 
Kwani ww ulivokua na uhusiano nae ulikua na lengo gani kwake?
 
Mkuu weka jina lako halisi pamoja na namba zako za simu na sehemu unayofanyia kazi hapa ili tuweze kukusaidia tatizo dogo hilo.
 
Mods peleka mleta uzi polisi sasa hivi!
Mripotini huyu jamaa haraka iwezekanavyo!
Police wanaweza mpata kwa kutumia njia ambazo wanazo!
Wamkamate hili li pathetic creature haraka sana walahi!
That’s all!
 
wahusika fuatilieni huyu akale miaka kwa kumimbisha totofunzi
So true ili iwe fundisho kwa wengine!
Maana yeye anaona ni utani kumharibia mwenzake maisha!
Dadadeki zake walahi!
 
So true ili iwe fundisho kwa wengine!
Maana yeye anaona ni utani kumharibia mwenzake maisha!
Dadadeki zake walahi!
Kama alimbaka kweli ana makosa ila kama walikubaliana wote wana makosa
 
Uandishi wako unaonyesha huna miaka 17 familia na ndoa unaipata wapi?
 
Kwa usawa huu wa Mkemia sikushauri ukimbie[emoji125]

wewe endelea kuitafuna kisawasawa hasa,maana huna pa kujificha

No where to run;labda tu umshawishi akunywe sumu kama kweli anakupendaa[emoji88]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] alafu mwisho wa siku Ije ithibitishwe sio yake itakuaje
 
Weka picha. Siku hizi fiction nyingi.
 
Badala ya kuanza/kutoroka unakuja jf kuanzisha uzi,kuja kushtuka polisi wako mlangoni kwako,
ANGALIZO:Jela sio kuzuri kabisa kama huamini muangalie singasinga Seth na Bilionea Rugemalila walivyo sana,usije sema hukuonywa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Eti badala ya kujiuliza utakabiliana vipi na sheria unajiuliza utakabiliana vipi na mkeo.Mkeo atajua kuwa hakutoshelezi na akikasirika sana ataamua muachane lakini umeshajiuliza jinsi yakuishi gerezani hali ukipigwa mateke na askari magereza kama walivyoagizwa na mheshimiwa rais.
 
Bora uwe mfano.kwa wenzako wengi humu..

Sasa jitayarishe azae na school fees ya kumsomesha hadi mbeleni

Umeongeza namba ya familia na ya kulea mtoto usisahau pia na atakae mlea binti akiwa anasoma nae atahitaji kulipwa hata awe ndugu au mzazi wake.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…