USHAURI : Nimempa mimba mwanafunzi

USHAURI : Nimempa mimba mwanafunzi

Mkuu uko wapi nikuelekeze ofisi ya RPC? Pale wanawasaidiaga sana watu wa aina yako. Usijali kama huna nauli nakutumia boda jeupe la Konstebo, lile pikipiki lao huwa lina speed mpaka 250KM/hr, so litakuwahisha. Kikubwa uwe ushatoa kabisa mkanda na uvae malapa. Usipoteze hela ya kunyolea para, pale wananyoaga bure kabisa na msosi wanakupa free asee.
 
SHERIA IMEFANYWA MAREKEBISHO KAMA NI UNDER 18 UNA KIFUNGO CHA MAISHA #MKUU pambana
 
Kama unakaa Dodoma fanya kutafuta namba za RPC kabla maana! Unakitambi na nguvu za kufanya kazi Mbona unavunja sheria!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom