talentboy
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 2,104
- 2,079
nazani hata iyo username yako ni jipu linalohitajika kutumbuliwa kwnz kabla ya iyo mimba ya binamu.. puppa ndo zilikufanya ukatia mimba na izo izo puppa zako ndo zinakufanya utake utoe mimba,kama haitoshi izo puppa zako zitakuletea matatizo makubwa sana apo mbeleni kidogo...ebu acha puppa kijana fikiri kabla ya kutenda hlf ruhusu busara zikuongoze na sio puppa kama username yko inavokubariki.
Last edited by a moderator: