Ushauri: Nimempa mimba binamu yangu

Ushauri: Nimempa mimba binamu yangu

Baada ya kuachwa na mpenzi wangu niliumia sana, niliamua kutopenda tena wanawake na maamuzi niliyopanga kila mwanamke atakayekatiza mbele yangu nampiga dushe ili kupoza machungu.

Kwa bahati mbaya nikamlamba mtoto wa anko ana 17, leo amenipigia simu ananiambia ana mimba yangu.

Ushauri naombeni je hiyo mimba ni yangu au nimepigwa changa, vilevile nimepanga kuichomoa ili kufuta noma na aibu nyumbani.

Siku zote hasira hasara lakini naona kwako imekua faida. Lea mimba hadi mtoto ndio matunda ya ngono
 
Eti niliamua kutokupenda tena wanawake wapende wanaume wenzio basi
 
nimepanga kuichomoa tu itakuwa aibu isiyofutika,dogo mwenyewe mwakani anaingia form 4,kama dhambi na iwe tu
 
Ukimwi je?
Yesu mbona huji? Please timiza ahadi urudi

wewe yesu haji leo bado sana. biblia inasema miaka elfu moja kwa mungu ni sawa na siku moja, sasa ni miaka elfu mbili kwa Mungu ni sawa na siku mbili . siku mbili tu zimepita tangu yesu aondoke halafu leo unataka arudi hata maumivu hajasahau bado.
 
Sasa kama umeshaamua kumwambia aitoe sisi tutakushauri nini?
 
...mbaf sana, wewe na mtoto wa mjomba wako jinga sana aiseee.....
 
Baada ya kuachwa na mpenzi wangu niliumia sana, niliamua kutopenda tena wanawake na maamuzi niliyopanga kila mwanamke atakayekatiza mbele yangu nampiga dushe ili kupoza machungu.

Kwa bahati mbaya nikamlamba mtoto wa anko ana 17, leo amenipigia simu ananiambia ana mimba yangu.

Ushauri naombeni je hiyo mimba ni yangu au nimepigwa changa, vilevile nimepanga kuichomoa ili kufuta noma na aibu nyumbani.

Pumbvu zako.
 
no comments thread closed kesho naenda kuicholopoa mimba,siwezi kuoa binamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom