Ushauri: Nimempa mimba binamu yangu

Ushauri: Nimempa mimba binamu yangu

Muda mwingine majina huakisi namna ulivyo, sishangai hata
 
wanaume bwana eti umepigwa Changa...mnaniudhiiii...Kwan condom shingapi??? mnapenda kugegeda ila matokeo yake eti mmepachikiwa...tooo bad...na usikute huyo dogo ni denti...17 yrs ..ulikosa mwanamke mpka ukashuka kwa cousin
 
Baada ya kuachwa na mpenzi wangu niliumia sana, niliamua kutopenda tena wanawake na maamuzi niliyopanga kila mwanamke atakayekatiza mbele yangu nampiga dushe ili kupoza machungu.

Kwa bahati mbaya nikamlamba mtoto wa anko ana 17, leo amenipigia simu ananiambia ana mimba yangu.

Ushauri naombeni je hiyo mimba ni yangu au nimepigwa changa, vilevile nimepanga kuichomoa ili kufuta noma na aibu nyumbani.

1. Kipimo cha DNA baada ya mtoto kuzaliwa ndio kitajibu swali hilo.

2. Kitendo cha kutoa ujauzito ni sawa na mauaji, na dhambi hiyo ukiifanya itakuandama sana usipotubu.
 
Baada ya kuachwa na mpenzi wangu niliumia sana, niliamua kutopenda tena wanawake na maamuzi niliyopanga kila mwanamke atakayekatiza mbele yangu nampiga dushe ili kupoza machungu.

Kwa bahati mbaya nikamlamba mtoto wa anko ana 17, leo amenipigia simu ananiambia ana mimba yangu.

Ushauri naombeni je hiyo mimba ni yangu au nimepigwa changa, vilevile nimepanga kuichomoa ili kufuta noma na aibu nyumbani.
wewe si umekufa? Hebu baki huko huko kuzimu
 
we utakuwa unaandika ukiwa kuzimu. ndio maana nlifungua Uzi maandishi yakawa juu chim
 
Et u naomba ushaur wakati ushafanya maamuz ya kuichomoa kufuta aibu,tukushaur nn sasa! Apo????
 
Kajisalimishe Polisi uliofanya no uhalifu tena unaongelea kwa lugha ya kebehi na dhihaka, Kama nimekusikia vizuri ulichezea wengi. Ungejisikiaje angekuwa ni binti yako?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom