Ushauri: Nimempa mimba binamu yangu

Ushauri: Nimempa mimba binamu yangu

Ungetuomba ushauri kabla hamjavua tungekushauri ishaingia sasa tukushauri nn.
 
Cha msingi mpeane zamu ya kuibeba akifikisha Tisa zamu yako kubeba
 
Usithubutu kutoa mimba
Unapiga kila bidada mpaka ndugu
Eti binamu nyama ya hamu
 
Baada ya kuachwa na mpenzi wangu niliumia sana, niliamua kutopenda tena wanawake na maamuzi niliyopanga kila mwanamke atakayekatiza mbele yangu nampiga dushe ili kupoza machungu.

Kwa bahati mbaya nikamlamba mtoto wa anko ana 17, leo amenipigia simu ananiambia ana mimba yangu.

Ushauri naombeni je hiyo mimba ni yangu au nimepigwa changa, vilevile nimepanga kuichomoa ili kufuta noma na aibu nyumbani.
Kamwadisie Anko (Baba yake binti) atakushauri vizuri
 
Cha msingi mwambie aitoe haraka ipasavyo kwa sababu italeta shida kwenye familia zenu,
Ili kuepuka aibu na dharau ni heri aitoe mapema hiyo mimba, na usifanye makosa tena kumpa mimba binamu yako.
Pole sana mkuu.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom