Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,080
- 165,195
Takko ukapige wewe mimba utuulize sie mfyuuu
Hongera
baada ya kuachwa na mpnzi wangu niliumia sana,niliamua kutopenda tena wanawake na maamuzi niliyopanga kila mwanamke atakayekatiza mbele yangu nampiga dushe ili kupoza machungu..kwa bahati mbaya nikamlamba mtoto wa anko ana 17,leo amenipigia cm ananiambia ana mimba yangu,ushauri naombeni je hiyo mimba ni yangu au nimepigwa changa..vilevile nimepanga kuichomoa ili kufuta noma na aibu nyumbani.
"'Leo amenipigia cm ananiambia nina mimba yake"'..mwisho wa kunukuu.
Mkuu,leo kakupigia simu halafu kasema una Mimba yake?yeye ni ME?
Hapo hata na mimi pananichanganya.
wakati huo huo anapiga dushe,wakati huo huo Anabeba mimba.Dah
unataka akupe uibebe ndo ujue kama ni yako? pia una kesi ya kubaka.baada ya kuachwa na mpnzi wangu niliumia sana,niliamua kutopenda tena wanawake na maamuzi niliyopanga kila mwanamke atakayekatiza mbele yangu nampiga dushe ili kupoza machungu..kwa bahati mbaya nikamlamba mtoto wa anko ana 17,leo amenipigia cm ananiambia ana mimba yangu,ushauri naombeni je hiyo mimba ni yangu au nimepigwa changa..vilevile nimepanga kuichomoa ili kufuta noma na aibu nyumbani.