Unaitika tuu wito! Ila huendi!!Hapo kweli umenena
Asa akinipigia nimjibu kwamba siwezi kwenda anifate yeye?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kajitambulisha jina akanambia niende central au niwaelekeze nilipo wanifuateUnaitika tuu wito! Ila huendi!!
By the way, umeshajiridhisha kweli ni polisi?! Au ni wale wa TUMA HELA KWENYE NAMBA HII...
Ikiwezekana hata simu badili kabisa!
Unajitafutia Matatizo makubwa We Nenda kayamalize,.
Kajitambulisha jina akanambia niende central au niwaelekeze nilipo wanifuate
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina mawasiliano yeyote ya kiuhalifu kakaIkiwezekana hata simu badili kabisa!
Hawachelewi kukwambia unawasiliana na jambazi aliyetafutwa toka 2017.
Polisi, kuna michezo mingi sana kwa raia, kuikwepa ni vigumu mno hasa wanapozihitaji pesa! Raia wengi tunaishi kwa kudra za Mungu tu.
Ila nawe uwe unajijua ni msafi kimatendo, kama unahusika kwa mikasa ya kihalifu, basi ujue utanaswa tu. Maana hata ubadili simu na laini, ila kama bado unaendelea kuwasiliana na mhalifu, watakupata tu.
Serikali yetu ina mkono mrefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina mda mrefu sana tangu 2010Line yako toka uanze kuitumia ina mda gani??
Kama unamsala mkubwa,hata usipoenda watakudaka tu..
Fatilia contact zako,na Ondoka unaposhindaga mara nyingi kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
simu yako ulinunua wapi dukani au mkonaniHabari wakuu
Nimepokea simu kutoka kwa mtu anasema yuko central kitengo cha cyber na kuna namba inaonekana naongea nayo na wanataka kujua machache kuihusu
Nimewauliza ni ipi niwajibu? wamekataa wamesema niende central au niwaambie nilipo wanifate nimewajibu ntaenda kesho
Hasa hapa najiuliza niende au? maana polisi wetu hawaaminiki unaeza fika yakawa mengine
Ushauri
Sent using Jamii Forums mobile app
Akizima simu akaitupa atapatikanaje sasa...Nenda kaitike wito, hata usipoenda watakupata popote ulipo
Wakutendee wema wote huo halafu wao wakale wapi?Nchi hii uonevu na ugandamizaji umekithiri. Hivi inakuwaje mtu aitwe polisi amekwenda pasi na shaka, akahojiwa mawili matatu akajibu na ikabainika kwamba mtu huyo hana shida sana,iweje aambiwe vua viatu,mkanda zama ndani? Kwa nini asiendelee kutoa ushirikiani huku akiwa nje na shughuli zake za kila siku? Hii nchi raia akiitwa polisi pasipokujali alichoitiwa 99% ana uwezekani Wa kuwekwa ndani
Ndugu yangu usiende bora waje kukukamata wenyeweSijui asre,Hta mimi nawaza hilo
heri wanifate wenyewe kuliko kujipeleka kama kondoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzushi anaeza kwambia uende central?Hakikisha kama ni Polisi.wazushi wamekuwa wengi.
simu yako ulinunua wapi dukani au mkonani
Mkuu wala usiende,acha wafanye kazi yao ya kùkutafuta wakukamate,utajipelekaje polisi na wewe?,endelea na kazi zako mpaka watakapokukamata sio wewe ujipeleke,ukijipeleka hakutapunguza makosa kama yapoHabari wakuu
Nimepokea simu kutoka kwa mtu anasema yuko central kitengo cha cyber na kuna namba inaonekana naongea nayo na wanataka kujua machache kuihusu
Nimewauliza ni ipi niwajibu? wamekataa wamesema niende central au niwaambie nilipo wanifate nimewajibu ntaenda kesho
Hasa hapa najiuliza niende au? maana polisi wetu hawaaminiki unaeza fika yakawa mengine
Ushauri
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa kabisaMkuu wala usiende,acha wafanye kazi yao ya kùkutafuta wakukamate,utajipelekaje polisi na wewe?,endelea na kazi zako mpaka watakapokukamata sio wewe ujipeleke,ukijipeleka hakutapunguza makosa kama yapo
Sent using Jamii Forums mobile app