msesalonike
Member
- Nov 4, 2016
- 29
- 43
- Thread starter
- #61
Asante kwa ushauri wako!Pole sana Ndugu.
Cha msingi, kaa na mke wako pamoja na mkewe. Mueleze kuwa hali ya sasa si nzuri hata kidogo. Na unashindwa kuimudu familia, hivyo watafute namna ya kusaidiana.
Ama La!. Mkeo awapigie ndugu zake na kuwaeleza kuwa sasa umeshindwa kuhudumia familia ya kaka yake. Watakusaidia.
Au, gawaneni watoto. Kila ndugu achukue mtoto mmoja, ili angalau wewe upunguziwe na mzigo.