USHAURI: Nimeachiwa Familia ya Mtu Bila Taarifa Rasmi!!

Pole sana Ndugu.

Cha msingi, kaa na mke wako pamoja na mkewe. Mueleze kuwa hali ya sasa si nzuri hata kidogo. Na unashindwa kuimudu familia, hivyo watafute namna ya kusaidiana.

Ama La!. Mkeo awapigie ndugu zake na kuwaeleza kuwa sasa umeshindwa kuhudumia familia ya kaka yake. Watakusaidia.

Au, gawaneni watoto. Kila ndugu achukue mtoto mmoja, ili angalau wewe upunguziwe na mzigo.
 
Huyo mke wako ni mama wa nyumbani tu? Kama ni hvyo wakalishe chini ongea nao. *some text missing*fanikiwa. Pole sana ndo ukubwa.
 
Huyo Mwanaume mchunguze vizuri kama akiri zake zipo sawa.
 
Dawa ni kumtimua tuu huyo mke wake na watoto wake, acha kuona aibu, uoga wako ndio umaskini wako
 
Mnunulie unnga wa ngano kilo 5 huyu bidada mwambie akiwa anamsubiri mume wake atafute hoteli itakayochukua maandazi au chapati na wewe itakuwa unasave budget ya break fast asubuhi

Hapana si sawa.....aanze mchakato wa kumgegeda wife wa huyo jamaa....either wife wake akihisi lazima amtimue wifie ama jamaa huko aliko akipata taarifa atakuja kumchukua mkewe mara moja.
 
Ni kukufahamisha kuwa iko siku hata hiyo familia yako itakuwa kubwa ,lkn hizo ni sehem za baraka zako muombe mungu nyie atakufungulia lkn pia sisi binadam tunategemeana iko siku utakwama saa ingine huyohuyo atakusaidia pambana hizo ni njia.
 
Hapana si sawa.....aanze mchakato wa kumgegeda wife wa huyo jamaa....either wife wake akihisi lazima amtimue wifie ama jamaa huko aliko akipata taarifa atakuja kumchukua mkewe mara moja.
Kutokana na umasikini wa nchi zetu familia ndiyo social security, shida haina mwenyewe huwezi jua lini mleta mada atasaidiwa na familia hii.
 
Mkuu alisema kadiri muda unavyokwenda itakuwa ngumu kuishi kiujanja ujanja
 
Pole sana mwalimu, na mkeo anasemaje kuhusu hili maana naye ana kauli ambayo anaweza tumia hiyo familia pandikizi ikarudi kwenye himaya yake
 
mtumie sms hii
'ILIKUWA TAMU SANA" au
'TOKA BASI ILA ASIJUE'
au
'LEO HATUENDI TENA? MBN UMEKAA TU'

afu mtumie "TEXT SIYO YAKO" ..., usipomwona hapo ndani ya nusu saa utaniambia
 
Asante ndugu kwa ushauri wako! Nitaufanyia kazi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…