Ushauri: Nilimfumania nikaachana naye lakini sasa haishi kunitukana, nataka kumburuza kwenye vyombo vya sheria

Mr Mjezwa

New Member
May 15, 2024
1
9
Naombeni ushauri,

Nilikua na mahusiano na mdada kwa kipindi cha mwaka mmoja umepita sasa. Na kama week mbili nyuma zimepita nilimfumania akiwa na mwanaume na nikaamua kuachana nae, simu zake sipokei wala sms sijibu.

Amefika hatua sasa amekua akinitusi matusi makubwa hadi ya kumuhusu mama yangu lakini mimi sijamjibu chochote mpaka sasa hivi.

Naomba ushauri huyu mtu nimfanyaje. Wazo langu mimi niliwaza kumpeleka kwenye vyombo vya sheria, Je, itakuwa sahihi?
 
Naombeni ushauri,

Nilikua na mahusiano na mdada kwa kipindi cha mwaka mmoja umepita sasa. Na kama week mbili nyuma zimepita nilimfumania akiwa na mwanaume na nikaamua kuachana nae, simu zake sipokei wala sms sijibu.

Amefika hatua sasa amekua akinitusi matusi makubwa hadi ya kumuhusu mama yangu lakini mimi sijamjibu chochote mpaka sasa hivi.

Naomba ushauri huyu mtu nimfanyaje. Wazo langu mimi niliwaza kumpeleka kwenye vyombo vya sheria, Je, itakuwa sahihi?
Hiyo njia ya kunyamaza inatosha.
Wala usihangaike kumjibu wala kumshtaki popote. Kiuhalisia huyo anamaumivu ya wewe kumuacha ndio maana anahasira na wewe.

Mimi nilikuwa na senario kama hii yako (Tena mimi alikuwa mke wa ndoa) kuna siku nitakuja wasimulia humu. Niliamua kukaa kimya tu na kuendelea na maisha bila kuhangaika nae. Kilichotokea alianza kutuma meseji za mfululizo kutwa nzima kila siku, bila mimi kumjibu. Akaanza na meseji za Mitusi zote sijisumbui kumjibu. Akawa mtu wa mihasira huko kazini kwake anagombana na kila mtu.
Baada ya miezi mitatu alianza kukonda anapelekwa kila hospitali hawaoni anachoumwa. Sasaivi amehamishiwa Muhimbili anaenda kila wiki. (Ana sonona moja kali sana)

Hivyo mtoa mada nakushauri endelea kupiga kimya hivyo hivyo
 
Naombeni ushauri,

Nilikua na mahusiano na mdada kwa kipindi cha mwaka mmoja umepita sasa. Na kama week mbili nyuma zimepita nilimfumania akiwa na mwanaume na nikaamua kuachana nae, simu zake sipokei wala sms sijibu.

Amefika hatua sasa amekua akinitusi matusi makubwa hadi ya kumuhusu mama yangu lakini mimi sijamjibu chochote mpaka sasa hivi.

Naomba ushauri huyu mtu nimfanyaje. Wazo langu mimi niliwaza kumpeleka kwenye vyombo vya sheria, Je, itakuwa sahihi?
Endelea Kukaa kimya huyo ana maumivu ya kuachwa hivyo anavyofanya ndio anapona taratibu jeraha lake kwahiyo wewe endelea Kukaa kimya maana unamsaidia kupona kwa majeraha yake siku akipona hatokutukana tena.
 
Hiyo njia ya kumnyamazia pekee inatosha.
Wala usihangaike kumjibu wala kumshtaki popote. Kiuhalisia huyo anamaumivu ya wewe kumuacha ndio maana anahasira na wewe.

Mimi nilikuwa na senario kama hii yako (Tena mimi alikuwa mke wa ndoa) kuna siku nitakuja wasimulia humu. Mimi niliamua kukaa kimya tu na kuendelea na maisha bila kuhangaika nae. Kilichotokea alianza kutuma meseji kutwa nzima bila mimi kumjibu. Akaanza na meseji za Mitusi zote sikumjibu. Akawa mtu wa mihasira huko kazini kwake anagombana na kila mtu.
Baada ya miezi mitatu alianza kukonda anapelekwa kila hospitali hawaoni anachoumwa. Sasaivi amehamishiwa Muhimbili anaenda kila wiki. (Ana sonona moja kali sana)

Hivyo mtoa mada nakushauri endelea kupiga kimya hivyo hivyo
Hiyo ndio dawa ya wanawake visumbufu wangu alinisumbua Hadi kupata vidonda vya vitumbo
 
Hiyo njia ya kumnyamazia pekee inatosha.
Wala usihangaike kumjibu wala kumshtaki popote. Kiuhalisia huyo anamaumivu ya wewe kumuacha ndio maana anahasira na wewe.

Mimi nilikuwa na senario kama hii yako (Tena mimi alikuwa mke wa ndoa) kuna siku nitakuja wasimulia humu. Mimi niliamua kukaa kimya tu na kuendelea na maisha bila kuhangaika nae. Kilichotokea alianza kutuma meseji kutwa nzima bila mimi kumjibu. Akaanza na meseji za Mitusi zote sikumjibu. Akawa mtu wa mihasira huko kazini kwake anagombana na kila mtu.
Baada ya miezi mitatu alianza kukonda anapelekwa kila hospitali hawaoni anachoumwa. Sasaivi amehamishiwa Muhimbili anaenda kila wiki. (Ana sonona moja kali sana)

Hivyo mtoa mada nakushauri endelea kupiga kimya hivyo hivyo
Unataka kufanya mauaji?
 
Hiyo njia ya kumnyamazia pekee inatosha.
Wala usihangaike kumjibu wala kumshtaki popote. Kiuhalisia huyo anamaumivu ya wewe kumuacha ndio maana anahasira na wewe.

Mimi nilikuwa na senario kama hii yako (Tena mimi alikuwa mke wa ndoa) kuna siku nitakuja wasimulia humu. Mimi niliamua kukaa kimya tu na kuendelea na maisha bila kuhangaika nae. Kilichotokea alianza kutuma meseji kutwa nzima bila mimi kumjibu. Akaanza na meseji za Mitusi zote sikumjibu. Akawa mtu wa mihasira huko kazini kwake anagombana na kila mtu.
Baada ya miezi mitatu alianza kukonda anapelekwa kila hospitali hawaoni anachoumwa. Sasaivi amehamishiwa Muhimbili anaenda kila wiki. (Ana sonona moja kali sana)

Hivyo mtoa mada nakushauri endelea kupiga kimya hivyo hivyo
GEMBESON inaonesha formula ya kumkalia kimya mwanamke huwa inawauma sana na kuwanyongosha
 
Hiyo njia ya kumnyamazia pekee inatosha.
Wala usihangaike kumjibu wala kumshtaki popote. Kiuhalisia huyo anamaumivu ya wewe kumuacha ndio maana anahasira na wewe.

Mimi nilikuwa na senario kama hii yako (Tena mimi alikuwa mke wa ndoa) kuna siku nitakuja wasimulia humu. Mimi niliamua kukaa kimya tu na kuendelea na maisha bila kuhangaika nae. Kilichotokea alianza kutuma meseji kutwa nzima bila mimi kumjibu. Akaanza na meseji za Mitusi zote sikumjibu. Akawa mtu wa mihasira huko kazini kwake anagombana na kila mtu.
Baada ya miezi mitatu alianza kukonda anapelekwa kila hospitali hawaoni anachoumwa. Sasaivi amehamishiwa Muhimbili anaenda kila wiki. (Ana sonona moja kali sana)

Hivyo mtoa mada nakushauri endelea kupiga kimya hivyo hivyo
GEMBESON inaonesha formula ya kumkalia kimya mwanamke huwa inawaumiza sana.
 
Back
Top Bottom