noma sana nimecheka kinoma sana mkuuHapa kikubwa ni confidence tu ndio maana materials zinaama kichwani soma vitabu vya kuboost confidence yako mimi nilishawahi kuwa nayo siku ya interview nikanywa konyagi alafu nikapiga mswaki kisha nikaoga nilipofika eneo la interview nilisahau mpaka nilichoandika kwenye cv nikabaki nashangaa kama mgeni ubungo
Hahahahahahaahahahahahah.........................................Hapa kikubwa ni confidence tu ndio maana materials zinaama kichwani soma vitabu vya kuboost confidence yako mimi nilishawahi kuwa nayo siku ya interview nikanywa konyagi alafu nikapiga mswaki kisha nikaoga nilipofika eneo la interview nilisahau mpaka nilichoandika kwenye cv nikabaki nashangaa kama mgeni ubungo