Ushauri: Niendelee kumfukuzia au nimpotezee?

Ushauri: Niendelee kumfukuzia au nimpotezee?

Ila mfano ndio Anko wako huyo. Unaweza kumkataa road 😅😅😅
🤣🤣🤣Tatizo hakwepeki maana akikuona yeye kwanza anaweza akapiga kelele kukuita akiwa upande wa pili wa barabara, sasa hapo unamkataaje. Mbaya zaidi ukute umekuja mjini na umefikia kwake.

Kiunyonge unamfuata tena🤣
 
🤣🤣🤣Tatizo hakwepeki maana akikuona yeye kwanza anaweza akapiga kelele kukuita akiwa upande wa pili wa barabara, sasa hapo unamkataaje. Mbaya zaidi ukute umekuja mjini na umefikia kwake.

Kiunyonge unamfuata tena🤣
Ndio maana natembea nimevee earphones,hata kama sisikilizi kitu.😅😅😅
 
Acha shobo mkuu,mademu mbn wengi huyo akichomoa,una mchomekea mwingine..Atakuona chawa wake shauri yako
 
We nae sasa ulishindwa kumuachia kanamba kako na kiji elf 10 ajiongeze yeye
Jaman muwe mnatusaidia kuwaelewesha hawa jamaa, siku moja nlimkuta jiran yangu yupo na vijana wa mtaani wanakula bia sehemu yule jiran nlikuwaga nammezea mate kwa mbali, nilimsalimia nikajifanya sina habari nae wakati nataka kusepa nikavizia anaenda washroom nikaenda nikampa 20 ya nauli nikasepa, kesho wacha aje wangu wangu
 
Jaman muwe mnatusaidia kuwaelewesha hawa jamaa, siku moja nlimkuta jiran yangu yupo na vijana wa mtaani wanakula bia sehemu yule jiran nlikuwaga nammezea mate kwa mbali, nilimsalimia nikajifanya sina habari nae wakati nataka kusepa nikavizia anaenda washroom nikaenda nikampa 20 ya nauli nikasepa, kesho wacha aje wangu wangu
Unaona sasa ye kaona akitoa atakuwaje


Mpe tena usimpe nafasi ya kusema asante ili akutafute akwambie asantee
 
Unataka kufundishwa namna ya kutongoza?
 
Kuna pisi niliielewa kitambo nikawa nimepromise kumtafuta. Akacheka tu. Sasa Leo nimetinga kazini kwake. Kuniona tu akawa haeleweki. Kiufupi kama akawa unstable kind of. Sasa nikamuita anagoma kuja. Nikamwomba namba. Anasema yupo kikazi siku nyingine. Nikasepa zangu.

Kazini kwao kuna wapo wenzake wengi inawezekana aliogopa katoa namba CCTV. Lakini pia inawezekana alikataa diplomatically. Should I go on persuing her?
Mwanamke anayekukubali atakurahisishia kazi.
Mwanamke asiyekukubali atafanya mambo yaonekane magumu.
 
Fanya mambo mengine, mambo yake muachie mwenyewe...
 
Back
Top Bottom