Ushauri: Niendelee kumfukuzia au nimpotezee?

Ushauri: Niendelee kumfukuzia au nimpotezee?

๐Ÿค“๐Ÿค“๐Ÿค“๐Ÿค“๐Ÿค“๐Ÿค๐Ÿค๐Ÿค๐Ÿค
Atakua anaogopa CCTV camera...!!
Kama hataki si angesema no. Maana yeye ndo alinipa green light Mara yaa kwanza. Nilimuuliza do you have a boy friend akasema no. Nikasema nitarudi๐Ÿ˜€
 
Akifika hapo home, akiambiwa jiskie upo nyumbani, atahamishia na nguo zake zote ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
๐Ÿ˜‚ kuna jamaa yangu kipindi tupo chuo KE akija kukaa nae karibu anachanganyikiwa kabisa, KE walivyojua udhaifu wake wakawa wanamchezea sana ila hakuwai kula hata m1. Ni msukuma ๐Ÿ˜‚
 
Yaani huyo kashakujua wewe ni kibamia .....so anogopa kuchafuliwa mwili wake....
 
Kuna pisi niliielewa kitambo nikawa nimepromise kumtafuta. Akacheka tu. Sasa Leo nimetinga kazini kwake. Kuniona tu akawa haeleweki. Kiufupi kama akawa unstable kind of. Sasa nikamuita anagoma kuja. Nikamwomba namba. Anasema yupo kikazi siku nyingine. Nikasepa zangu.

Kazini kwao kuna wapo wenzake wengi inawezekana aliogopa katoa namba CCTV. Lakini pia inawezekana alikataa diplomatically. Should I go on persuing her?
Mungu kakuepusha na dhoruba la jini muflis lakini bado unang'ang'ania kujipeleka.

Kukataliwa kwingine ni divine intervention. Tafuta mwingine.
 
Jamaa kuoneshwa tabasam kidogo tu, kaenda mpaka kazini kwa manzi ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

1678483320850.png

Mwamba katinga kazini kwa manzi anajichekesha chekesha kwa mbali๐Ÿคฃ
 
Hivi watu wanawezagaje kuvaa rangi moja hivi? ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Ukute mpaka chupi kamechisha.
Ukiwa na ujasiri wa kuvaa hivyo hushindwi hata kutembea uchi.

Ila mijitu ya design hiyo huwa ina mi confidence ya kipekee.
 
Ukute mpaka chupi kamechisha.
Ukiwa na ujasiri wa kuvaa hivyo hushindwi hata kutembea uchi.

Ila mijitu ya design hiyo huwa ina mi confidence ya kipekee.
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… Sema kwavile yeye anajikubali, it's oky ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Back
Top Bottom