Ushauri: Niendelee kumfukuzia au nimpotezee?

Ushauri: Niendelee kumfukuzia au nimpotezee?

Patriot3

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2022
Posts
336
Reaction score
553
Kuna pisi niliielewa kitambo nikawa nimepromise kumtafuta. Akacheka tu. Sasa Leo nimetinga kazini kwake. Kuniona tu akawa haeleweki. Kiufupi kama akawa unstable kind of. Sasa nikamuita anagoma kuja. Nikamwomba namba. Anasema yupo kikazi siku nyingine. Nikasepa zangu.

Kazini kwao kuna wapo wenzake wengi inawezekana aliogopa katoa namba CCTV. Lakini pia inawezekana alikataa diplomatically. Should I go on persuing her?
 
Kuna pisi niliielewa kitambo nikawa nimepromise kumtafuta. Akacheka tu. Sasa Leo nimetinga kazini kwake. Kuniona tu akawa haeleweki. Kiufupi kama akawa unstable kind of. Sasa nikamuita anagoma kuja. Nikamwomba namba. Anasema yupo kikazi siku nyingine. Nikasepa zangu.

Kazini kwao kuna wapo wenzake wengi inawezekana aliogopa katoa namba CCTV. Lakini pia inawezekana alikataa diplomatically. Should I go on persuing her?
Mnasumbua kweli zikianza ndoto nyevu
 
Back
Top Bottom