Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,659
- 68,625
- Thread starter
- #21
Asantee sana nimenunua tayariii ntapakaKama ambavyo napaka sun lotion usoni hata mwili wangu kwa ujumla lazima niukinge na mionzi mikali ya jua... Kuondoa yale mambo ya kuwa na rangi nyingi zisizoeleweka mwilini. Napaka hii sun lotion asubuhi kabla sijatoka.. Uzuri wa hii hainizuii kutumia lotion yangu ya otentika... Unaanza na lotion yako unayoipenda alafu juu unapaka sun lotion alafu unatoka na kuendelea na shughuli zako huku ngozi ikiwa Salama bila kuunguzwa na jua. (NIMEIPATA HUKO INSTA KWA @maureen.ndrw )