Ushauri Ndugu Zangu!

Ushauri Ndugu Zangu!

Dr si umesoma Public Health, pitia rules za public health na infection control. Hamuwezi kujua huko aliko anaambukiza wangapi. Angekuwa hafahamu sawa lakini anajijua ni mgonjwa na hataki kutibiwa.
 
Ww jamaa ni lofa kabisa. Ww sema tuu huyo mteja ulimtamani sio kwamba yeye ndo anakutega.

Siku mmoja nikiwa nakagua mafaili nikakuta namba zake nikampigia simu.
Nilipojitambulisha akakataa simu akatumia sms kuwa nimwache afe.
Baadae nikaendelea kutumiana nae meseji za kumshawishi atumie dawa lakini ananizungusha sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Huo hapo juu ni ushahidi wa wazi kabisa kwamba unadanganya. Mteja akishapimwa na akakutwa anao basi cha kwanza huwa ni kuchukua details zake ikiwamo na mawasiliano yake.

Sasa huwez kusema eti siku moja ukiwa unakagua mafaili ukakuta namba yake. It means hiyo namba uliikuta coincidentaly kitu ambacho sio kweli.

Kwenye vitengo vya CTC huwa kuna simu za vitengo ilikuwaje ww utumie namba yako? Hiyo inaonesha ulimtamani from the start.

Umekuja hapa kutafuta public sympathy tuu. Unataka public blessing za kwenda kumla huyo binti tuu.

Inshort ww sio MD bali ni either MO,AMO ama PARAMEDIC tuu.
 
Back
Top Bottom