mbere
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 6,969
- 6,460
- Thread starter
- #41
haha kweli mkuuKwamba simu za mkononi zilipata kupingwa hivyo hivyo, kuna watu walikuwa na vyombo vya kuzuia mawimbi, basi tu ilimradi cell phones zisipate nafasi! kukebehi, kudhalilisha, kwamba haiwezekani, kwamba ni mawazo ya CCM sidhani kama yatatupa maendeleo! Cha kushangaza simu hazina chama, maendeleo hayana chama, kama kila idea ya maendeleo wapinga sababu ya chama basi mwenzetu una issue zako..
Nakumbuka hata hizi Computers zilivyoingia, zilipata kupingwa na kukebehiwa sana sana, hasa wakina baba, wao walidhani ni typewriter, basi wakiona mwanaume anasomea ilikuwa shida! Njemba nzima inasomea kuwa typist! Kumbe mwenzao anapiga programming na ku operate application programs! Kwa kweli akili ni nywele...