Below standards ila unalala na kuamka nae na kumtia kila unapotaka! Hebu muogope mungu mzee! Mwanamke below standards usingeweza hata kuanzisha mazoea nae!
Demu unapika nae na kupakua miezi 3 now kisha unasema yuko below standards? Tafta demu mwingine wa kuoa huyo muache mzee sikutishi ila ambacho utakutana nacho utamkumbuka huyu wa below standards!!! Mwanamke ambaye ukimpa million 1 anaweza kuifanya ikawa 3 unamuita below standards



😃😂😁😀😅😄😏😣😶😑Usisahau kuleta mrejesho
Mungu kila mtu humpa mke kwa style yake yani we huyo ndio mkeo
Yeah umemjua mapungufu yake mapema😅Ni kweli mkuu, ila huyu nimevumilia sana kwa kuwa yalikuwa makosa yangu…. imenigharimu pakubwa.
Ukiishi na mtu ndo utamjua vema, japo ni risk sana ikiwa kinyemela…. na sio heshima pia.
Na hili ndio nashauri vijana kabla hujaoa ishi na mtu kwanza umuone tabia zakeNi kweli mkuu, ila huyu nimevumilia sana kwa kuwa yalikuwa makosa yangu…. imenigharimu pakubwa.
Ukiishi na mtu ndo utamjua vema, japo ni risk sana ikiwa kinyemela…. na sio heshima pia.
Anatesa watoto kwa zinaa zake wewe uzae na wanawake sita una Hela ya kuwapeleka feza school kweli?
Maskini huzaa hovyo bila kujali future na hatima ya watoto, matokeo yake vibaka na machangu wanazidi mtaani.

Mkumbushe sababu ya siku ya kwanza kukutana na sababu iliyofanya Aishi kwako.
Mimi ningekuwa wewe,ningetafuta chumba kizuri nikampangia,nikamwekea kitanda na godoro..then siku ya siku mnatoka sehemu iliyotulia mnazungumza na kumkumbusha Kwanini alikuja kukaa kwako.
Inawezekana kwa mwanamke ikawa ni ngumu kukuelewa lakini ni bora umuumize kumwambia ukweli akae akijua.
Baada ya kumkumbusha ukweli unamwambia nimeshakutafutia chumba na umelipa kwa miezi kadhaa na kitanda kipo ndani kwaajili ya kuanza maisha.wewe akuache kwenye nyumba yako kama alivyokukuta.
Atalia ,ataumia,atakulaumu,atakuona mbaya sana tena mkatili..kwakuwa hisia za kimapenzi kwake zimeshika hatamu lakini siku akija kurudi kwenye mhimili wa akili,atakushukuru sana na kukuombea(inawezekana asikwambie kuwa anakushukuru nakumuomba Mungu kwa ajili yako)lakini ukweli atakuwa na shukrani.
Maisha Haya hayatabitiki hakuna sababu ya kuachana vibaya wakati unaweza kutumia njia ya kiustaarabu na kiuungwana kuachana na mtu![]()