Ushauri, natokaje hapa?

Ushauri, natokaje hapa?

Asante mkuu Scars
Lengo ni kumwezesha (kama sio kumsaidia) apange ajitegemee bila kuumiza hisia zake. Hapa kuna gharama lazima nikubali kuzibeba 'for good' ilimradi liishe hili.

Hivyo nimeona hii ya kumlipia chumba na kumpatia vitu kidogo vya kuanzia ni vema, kuhusu namna gani nifanye aelewe nitaanza naye taratibu.

Wema una gharama zake, kama ilivyo kwa ujinga na tamaa.
 
Wakuu, yamenifika hapa!

Nimekuwa nikiishi na binti wa watu kinyemela kwa takribani miezi MINNE sasa. Tulianza kama masikhara, mwisho nikamruhusu ahamie ili nijihakikishie tunda kila nikiwa na KIU.

Stori iko hivi:

Nilikutana na binti ambaye yupo kwenye kupambana aanze maisha. Alikuwa akiishi kwa dada’ke kipindi hicho.

Katika stori za hapa na pale, binti akagusia hitaji lake la kujitegemea kimaisha. Japo kwa chumba kimoja tu, ili aondokane na kuishi kwa dada (shemeji).

Kumuuliza mipango yake ipoje, kasema anahitaji kiasi cha kodi tu. Na itamchukua miezi MITATU ikiwa ataitafuta kupitia kazi anayofanya.

Wakati huo tulishawahi kujadili lengo lake la kuanzisha ofisi yake ili tu awe na kazi yake. Hapa aliomba 'sapoti' yangu na nilimuahidi.

Basi bwana!
Nikaona kitonga si hii, nikamwambia ahamie kwangu ili tuishi kwa hiyo miezi MITATU huku akijiandaa kupanga.

Maaweee! Mtoto bila hiyana akafungasha, kaaga kwa dada’ke ya kuwa amepata chumba anahamia. Kapewa jiko dogo la gesi, na beseni kama zawadi ya kuanzia maisha. Huyu hapa.

Basi maisha yakaanza, yakasonga. Ahadi yangu nikatimiza akafungua ofisi yake, ikawa sasa kila anachopata anaboresha ofisi yake.

Siku nikigusia kuhusu maandalizi yake ya kupanga anakuwa mkali balaa, nimvumilie hajaanza kupata faida, nikisema nimlipie kodi utasikia ooh nimemchoka nataka kuleta MKE mwingine!

Kumbe mwenzangu alisha-update STATUS, alishakuwa MKE tayari. Mwanzo nikadhani utani, siku zinasonga AKILI inazidi kunirudi.

Sasa nawaza namna gani ya kuondokana naye kwa amani, sitaki kuoa wala sitaki kumuumiza kwa kumpotezea muda. Ingawa kwa hili labda aamue tu kunigeuka.

Hakuna namna ataweza kunishawishi kwenye mtazamo wangu juu ndoa, na hata msimamo wangu juu yake nilimweka wazi tangu mwanzo.

Jibu lake lilikuwa kama langu, kwamba hata yeye hahitaji kuolewa saivi anatafuta MAISHA kwanza. Ni wasiwasi wangu tu, naishije na mtu kinyemela muda wote huu. Japo hatuombei ya kutokea, God forbid!

Naombeni ushauri wenu ndugu zangu, hii ni tukio halisi linaloendelea sasa mubashara kwa ndugu yenu.

Natanguliza shukrani.

Ncha Kali.
Wanaume tunapungua kwa kasi.....unajua kusimamisha nanihii tu...mkuu ashakun, unachefua!....angekua mdogo wako ungejiskiaje...limtu linakaa nae miezi 4 alafu unamkimbia?....chunga sana.hii itakuwa tabia yako.grow up accept responsibility za maamuzi yako...kama hukutaka kumuoa ulikubali kuanza kuishi nae kwanini...uanaume ni maamuzi, msimamo na mgegedo....mgegedo bila maamuzi sahihi, na bila msimamo...ni sawa na dildo tu.
 
Wanaume tunapungua kwa kasi.....unajua kusimamisha nanihii tu...mkuu ashakun, unachefua!....angekua mdogo wako ungejiskiaje...limtu linakaa nae miezi 4 alafu unamkimbia?....chunga sana.hii itakuwa tabia yako.grow up accept responsibility za maamuzi yako...kama hukutaka kumuoa ulikubali kuanza kuishi nae kwanini...uanaume ni maamuzi, msimamo na mgegedo....mgegedo bila maamuzi sahihi, na bila msimamo...ni sawa na dildo tu.

Pole sana mkuu, punguza jazba kidogo pengine utaweza kuelewa.... sasa wadogo zangu wameingiaje hapo! Hata hivyo, kwani hawaliwi?

Nimeweka wazi sababu ya kuishi naye, wala haikuwa mipango ya kufanya maisha.
 
Usisahau kuleta mrejesho

====MREJESHO====

Remember the Date, 15th July 2021.

Hatimae nimefanikiwa kumalizana na huyu bibie kwa njia ninayodhani mimi ya amani.

Tarehe tajwa amehamia rasmi kwenye chumba chake, ingawa imenigharimu vitu kadhaa ila yote kheri nimejinasua kwenye mtego ulioninyima amani. Niliuingia kwa tamaa, and I paid the cost.

Asanteni ndugu zangu kwa ushauri wenu, kuna vitu kadhaa nilizingatia ili kufanikisha…. na imenisaidia kujifunza.

Sema nini, aisee kuondoka jana tu tayari nishaanza kumisi uwepo wake…. sijui itakuwaje!

Ngoja niache ujinga, on to the next one.
 
====MREJESHO====

Remember the Date, 15th July 2021.

Hatimae nimefanikiwa kumalizana na huyu bibie kwa njia ninayodhani mimi ya amani.

Tarehe tajwa amehamia rasmi kwenye chumba chake, ingawa imenigharimu vitu kadhaa ila yote kheri nimejinasua kwenye mtego ulioninyima amani. Niliuingia kwa tamaa, and I paid the cost.

Asanteni ndugu zangu kwa ushauri wenu, kuna vitu kadhaa nilizingatia ili kufanikisha…. na imenisaidia kujifunza.

Sema nini, aisee kuondoka jana tu tayari nishaanza kumisi uwepo wake…. sijui itakuwaje!

Ngoja niache ujinga, on to the next one.
Utaendelea kumenya hiyo papuchi invitro?
 
Wakuu, yamenifika hapa

Nimekuwa nikiishi na binti wa watu kinyemela kwa takribani miezi MINNE sasa. Tulianza kama masikhara, mwisho nikamruhusu ahamie ili nijihakikishie tunda kila nikiwa na KIU.

Stori iko hivi:

Nilikutana na binti ambaye yupo kwenye kupambana aanze maisha. Alikuwa akiishi kwa dada’ke kipindi hicho. Katika stori za hapa na pale, binti akagusia hitaji lake la kujitegemea kimaisha. Japo kwa chumba kimoja tu, ili aondokane na kuishi kwa dada (shemeji).

Kumuuliza mipango yake ipoje, kasema anahitaji kiasi cha kodi tu. Na itamchukua miezi MITATU ikiwa ataitafuta kupitia kazi anayofanya.

Wakati huo tulishawahi kujadili lengo lake la kuanzisha ofisi yake ili tu awe na kazi yake. Hapa aliomba 'sapoti' yangu na nilimuahidi.

Basi bwana! Nikaona kitonga si hii, nikamwambia ahamie kwangu ili tuishi kwa hiyo miezi MITATU huku akijiandaa kupanga. Maaweee! Mtoto bila hiyana akafungasha, kaaga kwa dada’ke ya kuwa amepata chumba anahamia. Kapewa jiko dogo la gesi, na beseni kama zawadi ya kuanzia maisha. Huyu hapa.

Basi maisha yakaanza, yakasonga. Ahadi yangu nikatimiza akafungua ofisi yake, ikawa sasa kila anachopata anaboresha ofisi yake. Siku nikigusia kuhusu maandalizi yake ya kupanga anakuwa mkali balaa, nimvumilie hajaanza kupata faida, nikisema nimlipie kodi utasikia ooh nimemchoka nataka kuleta MKE mwingine!

Kumbe mwenzangu alisha-update STATUS, alishakuwa MKE tayari. Mwanzo nikadhani utani, siku zinasonga AKILI inazidi kunirudi.[emoji15. Sasa nawaza namna gani ya kuondokana naye kwa amani, sitaki kuoa wala sitaki kumuumiza kwa kumpotezea muda. Ingawa kwa hili labda aamue tu kunigeuka.

Hakuna namna ataweza kunishawishi kwenye mtazamo wangu juu ndoa, na hata msimamo wangu juu yake nilimweka wazi tangu mwanzo.

Jibu lake lilikuwa kama langu, kwamba hata yeye hahitaji kuolewa saivi anatafuta MAISHA kwanza. Ni wasiwasi wangu tu, naishije na mtu kinyemela muda wote huu. Japo hatuombei ya kutokea, God forbid!

Naombeni ushauri wenu ndugu zangu, hii ni tukio halisi linaloendelea sasa mubashara kwa ndugu yenu.

Natanguliza shukrani.

Ncha Kali.
Sasa tatizo liko wapi mkuu?Unapata shida kwenye "engo" ipi ndugu?Ninyi muishi tu kama msichana wa "Chibok" na mtekaji "gaidi" wa "boko-haram"!How do you find it?😝😝😝😝😝😝
 
====MREJESHO====

Remember the Date, 15th July 2021.

Hatimae nimefanikiwa kumalizana na huyu bibie kwa njia ninayodhani mimi ya amani.

Tarehe tajwa amehamia rasmi kwenye chumba chake, ingawa imenigharimu vitu kadhaa ila yote kheri nimejinasua kwenye mtego ulioninyima amani. Niliuingia kwa tamaa, and I paid the cost.

Asanteni ndugu zangu kwa ushauri wenu, kuna vitu kadhaa nilizingatia ili kufanikisha…. na imenisaidia kujifunza.

Sema nini, aisee kuondoka jana tu tayari nishaanza kumisi uwepo wake…. sijui itakuwaje!

Ngoja niache ujinga, on to the next one.
Umekosea sana.Unaona Sasa?Umemmiss!😝😝😝😝
 
Mwache aijaze dunia hadi tushindwe kwa kukanyaga tubebane mabegani na nyumba nyingi za ghorofa.
Anatesa watoto kwa zinaa zake wewe uzae na wanawake sita una Hela ya kuwapeleka feza school kweli?
Maskini huzaa hovyo bila kujali future na hatima ya watoto, matokeo yake vibaka na machangu wanazidi mtaani.
 
Wakuu, yamenifika hapa

Nimekuwa nikiishi na binti wa watu kinyemela kwa takribani miezi MINNE sasa. Tulianza kama masikhara, mwisho nikamruhusu ahamie ili nijihakikishie tunda kila nikiwa na KIU.

Stori iko hivi:

Nilikutana na binti ambaye yupo kwenye kupambana aanze maisha. Alikuwa akiishi kwa dada’ke kipindi hicho. Katika stori za hapa na pale, binti akagusia hitaji lake la kujitegemea kimaisha. Japo kwa chumba kimoja tu, ili aondokane na kuishi kwa dada (shemeji).

Kumuuliza mipango yake ipoje, kasema anahitaji kiasi cha kodi tu. Na itamchukua miezi MITATU ikiwa ataitafuta kupitia kazi anayofanya.

Wakati huo tulishawahi kujadili lengo lake la kuanzisha ofisi yake ili tu awe na kazi yake. Hapa aliomba 'sapoti' yangu na nilimuahidi.

Basi bwana! Nikaona kitonga si hii, nikamwambia ahamie kwangu ili tuishi kwa hiyo miezi MITATU huku akijiandaa kupanga. Maaweee! Mtoto bila hiyana akafungasha, kaaga kwa dada’ke ya kuwa amepata chumba anahamia. Kapewa jiko dogo la gesi, na beseni kama zawadi ya kuanzia maisha. Huyu hapa.

Basi maisha yakaanza, yakasonga. Ahadi yangu nikatimiza akafungua ofisi yake, ikawa sasa kila anachopata anaboresha ofisi yake. Siku nikigusia kuhusu maandalizi yake ya kupanga anakuwa mkali balaa, nimvumilie hajaanza kupata faida, nikisema nimlipie kodi utasikia ooh nimemchoka nataka kuleta MKE mwingine!

Kumbe mwenzangu alisha-update STATUS, alishakuwa MKE tayari. Mwanzo nikadhani utani, siku zinasonga AKILI inazidi kunirudi.[emoji15. Sasa nawaza namna gani ya kuondokana naye kwa amani, sitaki kuoa wala sitaki kumuumiza kwa kumpotezea muda. Ingawa kwa hili labda aamue tu kunigeuka.

Hakuna namna ataweza kunishawishi kwenye mtazamo wangu juu ndoa, na hata msimamo wangu juu yake nilimweka wazi tangu mwanzo.

Jibu lake lilikuwa kama langu, kwamba hata yeye hahitaji kuolewa saivi anatafuta MAISHA kwanza. Ni wasiwasi wangu tu, naishije na mtu kinyemela muda wote huu. Japo hatuombei ya kutokea, God forbid!

Naombeni ushauri wenu ndugu zangu, hii ni tukio halisi linaloendelea sasa mubashara kwa ndugu yenu.

Natanguliza shukrani.

Ncha Kali.
Mungu kila mtu humpa mke kwa style yake yani we huyo ndio mkeo
 
Anatesa watoto kwa zinaa zake wewe uzae na wanawake sita una Hela ya kuwapeleka feza school kweli?
Maskini huzaa hovyo bila kujali future na hatima ya watoto, matokeo yake vibaka na machangu wanazidi mtaani.
Anamuenzi "ango" Magu aliyesema tufyatuane hadi heeeee!😝😝😝😝
 
Kuoa kwa sasa hapana, lakini hata muda ukifika... huyu binti yuko below standards.
Below standards ila unalala na kuamka nae na kumtia kila unapotaka! Hebu muogope mungu mzee! Mwanamke below standards usingeweza hata kuanzisha mazoea nae!

Demu unapika nae na kupakua miezi 3 now kisha unasema yuko below standards? Tafta demu mwingine wa kuoa huyo muache mzee sikutishi ila ambacho utakutana nacho utamkumbuka huyu wa below standards 😅😅😅!!! Mwanamke ambaye ukimpa million 1 anaweza kuifanya ikawa 3 unamuita below standards
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom