excel JF-Expert Member Joined Jul 8, 2011 Posts 22,434 Reaction score 17,862 Sep 26, 2023 #1 Nataka nianze rasmi kumla huyu mnyama anayechukiwa na watu zaidi ya bilioni moja ulimwenguni.. Nataka kujua anakuwa mtamu zaidi akiwa rosti au mkavu? Je nimsindikize na ndizi ama kaugali? Sipendi awe na mafuta mengi nipeni idea za kutosha
Nataka nianze rasmi kumla huyu mnyama anayechukiwa na watu zaidi ya bilioni moja ulimwenguni.. Nataka kujua anakuwa mtamu zaidi akiwa rosti au mkavu? Je nimsindikize na ndizi ama kaugali? Sipendi awe na mafuta mengi nipeni idea za kutosha
mshamba_hachekwi JF-Expert Member Joined Mar 3, 2023 Posts 22,269 Reaction score 71,936 Sep 26, 2023 #2 mnywe supu hutojutia
Friday Malafyale JF-Expert Member Joined Jan 18, 2017 Posts 1,818 Reaction score 2,936 Sep 26, 2023 #3 😂😂😂😂👏
Southern Highland JF-Expert Member Joined Mar 22, 2017 Posts 15,930 Reaction score 27,179 Sep 26, 2023 #4 Unamrost unakula na ugali au ukimpitisha kwenye mafuta basi ule na ndizi mixer kachumbari na pilipili hiyo ndio combo nzuri ya kitimoto
Unamrost unakula na ugali au ukimpitisha kwenye mafuta basi ule na ndizi mixer kachumbari na pilipili hiyo ndio combo nzuri ya kitimoto
Tlaatlaah JF-Expert Member Joined May 18, 2023 Posts 36,382 Reaction score 30,953 Sep 26, 2023 #5 Excel said: Nataka nianze rasmi kumla huyu mnyama anayechukiwa na watu zaidi ya bilioni moja ulimwenguni.. Nataka kujua anakuwa mtamu zaidi akiwa rosti au mkavu? Je nimsindikize na ndizi ama kaugali? Sipendi awe na mafuta mengi nipeni idea za kutosha Click to expand... mbona maelezo na tone vinaenda sambamba na wazoefu wa hiyo kitu? Je! Na wewe ni mmoja wao? Mwenendo wa maelezo unaishara Kamili za uzoefu.
Excel said: Nataka nianze rasmi kumla huyu mnyama anayechukiwa na watu zaidi ya bilioni moja ulimwenguni.. Nataka kujua anakuwa mtamu zaidi akiwa rosti au mkavu? Je nimsindikize na ndizi ama kaugali? Sipendi awe na mafuta mengi nipeni idea za kutosha Click to expand... mbona maelezo na tone vinaenda sambamba na wazoefu wa hiyo kitu? Je! Na wewe ni mmoja wao? Mwenendo wa maelezo unaishara Kamili za uzoefu.
REJESHO HURU JF-Expert Member Joined Mar 6, 2014 Posts 5,160 Reaction score 11,263 Sep 26, 2023 #6 Boss umechelewa sana sijui kama utaweza kuelezea radha ya kiti moto maana nguruwe wa sasa nao kama wadada wa mjini hawana radha kabisa sijui wanalishwa nini
Boss umechelewa sana sijui kama utaweza kuelezea radha ya kiti moto maana nguruwe wa sasa nao kama wadada wa mjini hawana radha kabisa sijui wanalishwa nini
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 42,532 Reaction score 105,233 Sep 26, 2023 #7 Ukisha mla, nakushauri umshushie na bapa moja la nyagi aka faru jonh.....😋 utakuja kunishukuru...😊
Kasiano Muyenzi JF-Expert Member Joined Feb 3, 2018 Posts 13,972 Reaction score 22,922 Sep 26, 2023 #8 Ulikuwa wapi siku zote za ujana wako? Umechelewa sana
Lovebird JF-Expert Member Joined Sep 27, 2012 Posts 6,661 Reaction score 9,969 Sep 26, 2023 #9 supu ya kongoro lake ni dawa ya kuzuia kukojoa kwa bed
thanos JF-Expert Member Joined Jul 25, 2018 Posts 1,118 Reaction score 1,179 Sep 26, 2023 #10 Ushimen said: Ukisha mla, nakushauri umshushie na bapa moja la nyagi aka faru jonh..... utakuja kunishukuru... Click to expand... Pombe sio nzuri kaka si ume muona dudu baya?
Ushimen said: Ukisha mla, nakushauri umshushie na bapa moja la nyagi aka faru jonh..... utakuja kunishukuru... Click to expand... Pombe sio nzuri kaka si ume muona dudu baya?
Kaka yake shetani JF-Expert Member Joined Feb 1, 2023 Posts 5,766 Reaction score 14,776 Sep 26, 2023 #11 Jitahidi kutumia rost na kavu wakati mmoja test yake noma huku kachumbari,huku rost mix kiti na kapilipili kwa mbali.
Jitahidi kutumia rost na kavu wakati mmoja test yake noma huku kachumbari,huku rost mix kiti na kapilipili kwa mbali.
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 77,104 Reaction score 165,320 Sep 26, 2023 #12 Onja zote....anza na ya kukaanga, kula roast na ya kuchoma + ndizi mbili na kachumbali oooh haleluyah
Onja zote....anza na ya kukaanga, kula roast na ya kuchoma + ndizi mbili na kachumbali oooh haleluyah
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 42,532 Reaction score 105,233 Sep 26, 2023 #13 thanos said: Pombe sio nzuri kaka si ume muona dudu baya? Click to expand... Tatizo la dudu alikua anakunywa alafu anashindia mihogo, akisha lewa anaenda kukamua wanawake wazee na kukipambazuka anaenda kwenye kazi ngumu.
thanos said: Pombe sio nzuri kaka si ume muona dudu baya? Click to expand... Tatizo la dudu alikua anakunywa alafu anashindia mihogo, akisha lewa anaenda kukamua wanawake wazee na kukipambazuka anaenda kwenye kazi ngumu.
Kasiano Muyenzi JF-Expert Member Joined Feb 3, 2018 Posts 13,972 Reaction score 22,922 Sep 26, 2023 #14 Evelyn Salt said: Onja zote....anza na ya kukaanga, kula roast naya kuchoma + ndizi mbili na kachumbali oooh haleluyah Click to expand... Amen!
Evelyn Salt said: Onja zote....anza na ya kukaanga, kula roast naya kuchoma + ndizi mbili na kachumbali oooh haleluyah Click to expand... Amen!
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,009 Reaction score 177,303 Sep 26, 2023 #15 Bila kusahau pilipili na kalimao ! 😋!
K kibobori mahoro JF-Expert Member Joined Dec 12, 2022 Posts 8,625 Reaction score 12,171 Sep 26, 2023 #16 Kumbuka Yesu aliondoa mapepo na yakaingia kwa nguruwe nao nguruwe wakatumbukia baharini na hayo mapepo! Unataka kula mapepo? Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Kumbuka Yesu aliondoa mapepo na yakaingia kwa nguruwe nao nguruwe wakatumbukia baharini na hayo mapepo! Unataka kula mapepo? Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Gentlemen_ JF-Expert Member Joined Nov 24, 2019 Posts 4,630 Reaction score 14,603 Sep 26, 2023 #17 Mle akiwa Mbichi
Kaka yake shetani JF-Expert Member Joined Feb 1, 2023 Posts 5,766 Reaction score 14,776 Sep 26, 2023 #18 Mfalme wa nyama unaweza kula kilo Moja peke yako.
everlenk JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 11,628 Reaction score 15,032 Sep 26, 2023 #19 Umechelewa sana
Just Distinctions JF-Expert Member Joined May 5, 2016 Posts 3,322 Reaction score 6,968 Sep 26, 2023 #20 Achana nae, huyo mdudu ni kama kula Unga (Poda) ni ngumu sana kumuacha sababu ana addiction, kibaya dini yangu hairuhusu hivyo sikushauri umle Kwanini usijaribu Kuku choma au mbuzi roast?😊
Achana nae, huyo mdudu ni kama kula Unga (Poda) ni ngumu sana kumuacha sababu ana addiction, kibaya dini yangu hairuhusu hivyo sikushauri umle Kwanini usijaribu Kuku choma au mbuzi roast?😊