Ushauri: Nataka kuhamia Tanga

Tanga kibiashara in ushe ushe nyingi sana ch kufanya njoo Tanga ila uwe mfanyabiashara wa mazao ya chakula kupeleka mikoani Tanga mwaka mzima inatoa mazao yanayoliwa dar.
 
ndg yangu nipo tanga mwaka wa kumi huu kikazi napambana sana kuhama .hakuna fursa huku usijaribu kuja tanga
Mkuu haupo serious wewe Tanga unaijua au unaisikia wewe?
 
Mkuu kilimo gani lushoto kinafaa Kwa mazao ya chakula ukiondoa mazao ya biashara kama katani. je? mashamba yanapatikana Kwa bei gani?
Mbogamboga zote unazozijua zinatoka Lushoto... Nyanya, karoti, hoho, mchicha, tangawizi, kabichi, viazi vya chipsi, maharagwe nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…