Ushauri: Nadhulumiwa na mjomba bila sababu?

Ushauri: Nadhulumiwa na mjomba bila sababu?

Niende kwa baba wa kambo ananikataa
Sasa ukienda kwa baba yako mwanao naye aende wapi? umeshakuwa baba pambana na maisha yako. hapo hata kama unahaki kupitia urithi wa mama yako potezea... bado hatujafikia kumpa urithi mwanamke.
 
Huyo anakufundisha jinsi ya kutafuta Mali zako mkuu, kikubwa pambana uwezavyo ukiamini ipo siku
kudhulumiwa ni kufundishwa kutafuta chako?
HAUJAWAHI KUMUONA TAJIRI ANAKWENDA KUFUNGUA KESI YA ARDHI KISA JIRANI YAKE KAONGEZA HATUA MOJA SHAMBANI KWAKE?
 
Toa ujinga hapa...... nenda kwa baba yako ukarithi mali zako.... wewe ni mwizi unataka kumuibia mjomba wako urithi wake wakati amekusomesha.......
 
mnaomshauri aachane na huo urithi.
HAYAJAWAKUTA.
ipo siku yatakuja kuwageukia nyie.
Mimi kama mimi yaliyonikuta ni mengi mkuu ndo maana nikashauri aachane nazo ila kama ni lazima afuate misingi ya sheria kupata haki yake
 
WATU WALIOCHANGIA HAWAJAKUPA UKWELI NGOJA MIMI NIKUPE UKWELI.

NI hivi Tangu lini Mjukuu akarithi Mali ya Babu? Huo utaratibu umeanza lini?

Mama yako mzazi ndiye mwenye haki ya kurithi na Kama alishafariki KABLA hajarithishwa Mali Basi wewe sahau kurithishwa Mali kwa mgongo wa mama yako!!!

Na Kama unadai ulirithishwa Hilo Shamba na Babu yako lazima uwe na ushahidi wa maandishi au wa mdomo na Kama NI ushahidi wa mdomo lazima uwe na mashahidi zaidi ya wanna Kati yao wawepo Ndugu wa karibu na wengine wasio ndugu.


Je unao ushahidi wowote wa maandishi au wa mdomo kuwa Babu yako alikupa Hilo Shamba lotelote?Kana unao kafungue kesi mahakamani na Kama huna Hama haraka Sana kwenye Hilo eneo.


Unadai uliliendeleza Hilo eneo tangu ukiwa mdogo. NI SAWA uliliendeleza na ilikuwa NI jukumu lako kwa kuwa ulikuwa unatunzwa na Babu yako, Unakula,KULALA na kusomeshwa bure Sasa Kwanini na wewe usisaidie kazi za nyumbani? Ulitaka uwe Unakula bure,Kusomeshwa bure na KULALA bure na wewe usishiriki kazi za happy nyumbani kwa Babu yako?

Pia kuliendeleza eneo lisilo lako bado litabaki kuwa siyo lako hata Kama ungejenga ghorofa!!! Bado eneo Hilo litabaki kwa mwenye eneo tu!! Wewe ulipanda miti kwenye Shamba la Babu yako bado Hilo Shamba NI la Babu yako na akifa watarithi Watoto wa Babu yako we huna kitu hapo!! Vinginvyo uwe alikupa mbele ya mashahidi tofauti na happy eneo siyo lako ondoka haraka na kesi hiyo huwezi kushinda.


Cha msingi umwangukie mjomba wako akupe miti kidogo uvune na wewe ukaanze Maisha yako sehemu nyingine. Huo Ndiyo ukweli ninaokupa maana wachangiaji wengi WANAISHIA KUKUAMBIA time et ACHANA nao hawakwambii wewe huna haki pale, Kama huna ushahidi wa kurithishwa Hilo eneo WEWE HUNA HAKI, HUNA CHAKO PALE NA HIVYO HAMA HARAKA SANA

MTUMAI CHA NDUGU HUFA MASIKINI.
 
mnaomshauri aachane na huo urithi.
HAYAJAWAKUTA.
ipo siku yatakuja kuwageukia nyie.
Tatizo wewe sheria hujui, Kuliendeleza eneo la mtu haikupi wewe uhalali wa kulimiliki Hilo eneo hata Kama ungejenga ghorofa!!! Upo hapo?

Tangu lini urithi wa Babu ukarithiwa na mjuu ilihali watoto wa Babu wapo hai?

Yeye anadai ALIPEWA na Babu Yake, Lakini Hana ushahidi wowote utamwaminije?

Kama anao ushahidi wa maandishi au wa mdomo akafungue kesi kwenye Baraza la Ardhi. Na Kama ushahidi NI wa mdomo lazima awe na mashahidi zaidi ya wanna na Kati yao wawepo Ndugu wa karibu na wengine watu Baki wasio ndugu! Je anao ushahidi wowote? Kama Hana ahame haraka Sana eneo Hilo siyo lake,
 
Mimi nilipewa mashamba ,NYUMBA,na babu yangu.kimaandishi kabisa.lakini nilivipotezea vyote nikaachia watoto wake
Nikapambana na maisha yangu,na nimefanikiwa kuliko wao
MKUU Fanya yako
 
Mimi ni kijana wa miaka 28 nimeoa Nina mtoto mmoja wa mwaka mmoja,

Bahati nzuri nimelewa na kusoma kwa Babu yangu na Bibi yangu upande wa kike maana ndio walezi wangu ;Kwa bahati mbaya Babu na Bibi yangu wamefariki Nikiwa nasoma form two;

Babu yangu alinifundisha kuwekeza baadhi ya rasilimali kwa kupanda miti kwenye baadhi ya maeneo ukiunganisha unapata kama ekari saba(7) .Mjomba ni mtoto pekee wa kiume kati ya watoto watano wa Babu yangu imefikia kipindi mjomba amefuta kabisa Mali na maeneo aliyonipa Babu,Moja ya eneo langu amesha vuna Miti yangu, Nashindwa kuelewa kwanini anifanyie hivyo,Yeye anadai kwa anataifisha Mali zangu kisa Ada aliyonilipia Nikiwa chuoni .

Naombeni ushauri amenipandikisha chuki kwa Dada zake imefikia kipindi Mimi na familia yangu tunanyoshewa vidole eti Mimi Nina kiburi na Sina pakuanzia .
Ujombani siko dogo. Naye anafanya hayo akijua huna urithi huko.

Wakati babu yako anakupa maeneo ilitakiwa awashirikishe waanaye. Kwa sababu wewe urithi wako uko kwa wazazi wako wa kiume ambaye hujamsema ilikuwaje ukalelewa ujombani ?!.
 
WATU WALIOCHANGIA HAWAJAKUPA UKWELI NGOJA MIMI NIKUPE UKWELI.

NI hivi Tangu lini Mjukuu akarithi Mali ya Babu? Huo utaratibu umeanza lini?

Mama yako mzazi ndiye mwenye haki ya kurithi na Kama alishafariki KABLA hajarithishwa Mali Basi wewe sahau kurithishwa Mali kwa mgongo wa mama yako!!!

Na Kama unadai ulirithishwa Hilo Shamba na Babu yako lazima uwe na ushahidi wa maandishi au wa mdomo na Kama NI ushahidi wa mdomo lazima uwe na mashahidi zaidi ya wanna Kati yao wawepo Ndugu wa karibu na wengine wasio ndugu.


Je unao ushahidi wowote wa maandishi au wa mdomo kuwa Babu yako alikupa Hilo Shamba lotelote?Kana unao kafungue kesi mahakamani na Kama huna Hama haraka Sana kwenye Hilo eneo.


Unadai uliliendeleza Hilo eneo tangu ukiwa mdogo. NI SAWA uliliendeleza na ilikuwa NI jukumu lako kwa kuwa ulikuwa unatunzwa na Babu yako, Unakula,KULALA na kusomeshwa bure Sasa Kwanini na wewe usisaidie kazi za nyumbani? Ulitaka uwe Unakula bure,Kusomeshwa bure na KULALA bure na wewe usishiriki kazi za happy nyumbani kwa Babu yako?

Pia kuliendeleza eneo lisilo lako bado litabaki kuwa siyo lako hata Kama ungejenga ghorofa!!! Bado eneo Hilo litabaki kwa mwenye eneo tu!! Wewe ulipanda miti kwenye Shamba la Babu yako bado Hilo Shamba NI la Babu yako na akifa watarithi Watoto wa Babu yako we huna kitu hapo!! Vinginvyo uwe alikupa mbele ya mashahidi tofauti na happy eneo siyo lako ondoka haraka na kesi hiyo huwezi kushinda.


Cha msingi umwangukie mjomba wako akupe miti kidogo uvune na wewe ukaanze Maisha yako sehemu nyingine. Huo Ndiyo ukweli ninaokupa maana wachangiaji wengi WANAISHIA KUKUAMBIA time et ACHANA nao hawakwambii wewe huna haki pale, Kama huna ushahidi wa kurithishwa Hilo eneo WEWE HUNA HAKI, HUNA CHAKO PALE NA HIVYO HAMA HARAKA SANA

MTUMAI CHA NDUGU HUFA MASIKINI.
Ahsante kwa ushauri wako mkuu
 
Mimi kama mimi yaliyonikuta ni mengi mkuu ndo maana nikashauri aachane nazo ila kama ni lazima afuate misingi ya sheria kupata haki yake
ni bora umshauri hivyo.ILA SI KUMWAMBIA AACHE KABISA.
duniani ukiishi kimalaika watakuonea sana kuna wakati unatakiwa uwe na roho mbaya.asaa kwa watu wadhulumaji.usikubali kuishi kinyonge.kuwaachia mali ndugu eti kisa ni za urithi huo ni unyonge.
pambana upate haki yako.hata mungu atakuwa upande wako.
 
WATU WALIOCHANGIA HAWAJAKUPA UKWELI NGOJA MIMI NIKUPE UKWELI.

NI hivi Tangu lini Mjukuu akarithi Mali ya Babu? Huo utaratibu umeanza lini?

Mama yako mzazi ndiye mwenye haki ya kurithi na Kama alishafariki KABLA hajarithishwa Mali Basi wewe sahau kurithishwa Mali kwa mgongo wa mama yako!!!

Na Kama unadai ulirithishwa Hilo Shamba na Babu yako lazima uwe na ushahidi wa maandishi au wa mdomo na Kama NI ushahidi wa mdomo lazima uwe na mashahidi zaidi ya wanna Kati yao wawepo Ndugu wa karibu na wengine wasio ndugu.


Je unao ushahidi wowote wa maandishi au wa mdomo kuwa Babu yako alikupa Hilo Shamba lotelote?Kana unao kafungue kesi mahakamani na Kama huna Hama haraka Sana kwenye Hilo eneo.


Unadai uliliendeleza Hilo eneo tangu ukiwa mdogo. NI SAWA uliliendeleza na ilikuwa NI jukumu lako kwa kuwa ulikuwa unatunzwa na Babu yako, Unakula,KULALA na kusomeshwa bure Sasa Kwanini na wewe usisaidie kazi za nyumbani? Ulitaka uwe Unakula bure,Kusomeshwa bure na KULALA bure na wewe usishiriki kazi za happy nyumbani kwa Babu yako?

Pia kuliendeleza eneo lisilo lako bado litabaki kuwa siyo lako hata Kama ungejenga ghorofa!!! Bado eneo Hilo litabaki kwa mwenye eneo tu!! Wewe ulipanda miti kwenye Shamba la Babu yako bado Hilo Shamba NI la Babu yako na akifa watarithi Watoto wa Babu yako we huna kitu hapo!! Vinginvyo uwe alikupa mbele ya mashahidi tofauti na happy eneo siyo lako ondoka haraka na kesi hiyo huwezi kushinda.


Cha msingi umwangukie mjomba wako akupe miti kidogo uvune na wewe ukaanze Maisha yako sehemu nyingine. Huo Ndiyo ukweli ninaokupa maana wachangiaji wengi WANAISHIA KUKUAMBIA time et ACHANA nao hawakwambii wewe huna haki pale, Kama huna ushahidi wa kurithishwa Hilo eneo WEWE HUNA HAKI, HUNA CHAKO PALE NA HIVYO HAMA HARAKA SANA

MTUMAI CHA NDUGU HUFA MASIKINI.
mjukuu ana rithi.
ikiwa babu mwenyewe katoa wosia kuwa mjukuu wake arithi.
ila ndugu waliobakia ndio uanzisha chokochoko mwenyewe akishaondoka KUWA MJUKUU HARITHI.na wanafanya hivyo kwa kujua fika kwamba marehemu alishaweka wosia kuwa mjukuu wake harithi.ILA NI TAMAA ZAO TU.
 
ni bora umshauri hivyo.ILA SI KUMWAMBIA AACHE KABISA.
duniani ukiishi kimalaika watakuonea sana kuna wakati unatakiwa uwe na roho mbaya.asaa kwa watu wadhulumaji.usikubali kuishi kinyonge.kuwaachia mali ndugu eti kisa ni za urithi huo ni unyonge.
pambana upate haki yako.hata mungu atakuwa upande wako.
Kudai haki NI SAWA Lakini use unahaki kweli, Tangu lini Urithi wa Babu akadaiwa na Mjukuu? Kama anaushahidi wa kurithishwa kwa maandishi hapo SAWA anaweza kudai Lakini Kama Hana anajisumbua Wala usimpe moyo kwa kitu kisichowezekanika!!!

Acha kumpotosha mwenzako ajione anahaki kumbe Hana.Kuendeleza eneo lisilo lako hakukupi mamlaka ya kulifanya liwe lako hata ungejenga ghorofa kumi!!! Bado eneo litabaki kwa mwenye eneo tu.
 
Back
Top Bottom