Niwaheri
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 3,481
- 5,357
Kama nahitaji kujinnasua kwenye hili naomba msaada wa haraka kiupi ni kwamba kadiri siku zinavyozidi kwenda nyama zingine naziona za hovyo mawazo yote ni kitimoto.
Sijui kiafya ikoje kama kuna namna ya kuninasua nisaidieni maana nakoelekea ni kubaya imagine anataka kumzidi na kuku.
Sijui kiafya ikoje kama kuna namna ya kuninasua nisaidieni maana nakoelekea ni kubaya imagine anataka kumzidi na kuku.
