Hana shida huyo hata uwe unakula kama dozi ya paracetamol ni proteins tupu tena protein safi kabisa ilimradi iive vizuri ni safi na salama kabisa kwa afya tena ni salama kuliko hata nyama ya ng'ombe kwa sababu mafuta ya kitimoto hayagandi kwenye mishipa ya damu na hayana karoli nyingi tofauti kabisa na mafuta ya ng'ombeKama nahitaji kujinnasua kwenye hili naomba msaada wa haraka kiupi ni kwamba kadiri siku zinavyozidi kwenda nyama zingine naziona za hovyo mawazo yote ni kitimoto.
Sijui kiafya ikoje kama kuna namna ya kuninasua nisaidieni maana nakoelekea ni kubaya imagine anataka kumzidi na kuku.