Kodo dyako
JF-Expert Member
- Nov 18, 2025
- 321
- 388
Pamoja na kusimangwa ila bado mdudu mtamu kiasi hiko ..asalaleee waislamu endeleeni kuharamisha ili tule wachache
Mkuu zile fitna ili tubaki wachache...wachina ndio magwiji wakula hiyo kitu ila hawana tege,,tegu Wala mategeZile story za tegu na kifafa zilifanya niweke silaha chini.
Hao ndiyo wadau wakubwa,jana nilikuwa Iringa mjini pale,nina jembe langu la kuitwa Dulla hatujaonana muda mrefu zaidi ya calls tu,jana nilipokuwa napita tukapanga kuonana,aaah alinisurprise sana kuna chimbo alinipeleka hatari sana......Acha kuwashitua akina salum, wasije wakaanza kula mdudu akapanda bei
Hivi ile nyama ikiwa mdomoni hua unakumbuka hizo hasara?Me hata nile kila siku sawa tu.
Halafu upishi unatofautiana nahisi kuna sehemu huku home nakulaga naona tamu kuliko kwingine kote.. Yaani nilikua Moro kule niliona hata hawajui kuitengeneza lost ya kitimoto .
Shida ni gharama.. mlo mmoja tu unatumia pesa nyingi inakua hasara.
Mi nimekula sana aisee na sijawahi kumkaribia🤌🏾Ubaya wa kiti moto ,ukila sana hauchelewi kufanana na nguruwe
Jinsi mazingira ya ufugaji yalivyo bongo precautions muhimu Mkuu!Mkuu zile fitna ili tubaki wachache...wachina ndio magwiji wakula hiyo kitu ila hawana tege,,tegu Wala matege
Kila kitu kwa kipimo. Kila jambo kwa kiasiKama nahitaji kujinnasua kwenye hili naomba msaada wa haraka kiupi ni kwamba kadiri siku zinavyozidi kwenda nyama zingine naziona za hovyo mawazo yote ni kitimoto.
Sijui kiafya ikoje kama kuna namna ya kuninasua nisaidieni maana nakoelekea ni kubaya imagine anataka kumzidi na kuku.
Unanenepa hovyo hovyoKwa nini kaka
Piga kitimoto mwamba wala usisikilize ya watu!Kama nahitaji kujinnasua kwenye hili naomba msaada wa haraka kiupi ni kwamba kadiri siku zinavyozidi kwenda nyama zingine naziona za hovyo mawazo yote ni kitimoto.
Sijui kiafya ikoje kama kuna namna ya kuninasua nisaidieni maana nakoelekea ni kubaya imagine anataka kumzidi na kuku.