Bahari za leo ndugu zangu,
Naombeni ushauri ndugu zangu,
Naona hili jambo kama linaniweka njia panda vile. Nina mwanaume mmoja ni rafiki yangu kimapenzi, ila tatizo lake kubwa ni kwamba hajui kusaidia na ikitokea nikawa na shida nikamuomba jambo kapesa kidogo yeye hanipi ila anasema tu mimi ukizaa na mimi ndio nitakupa hela.
Ndugu zangu huyu naona hanifai hata kidogo.
USHAURI WENU WAPENDWA
Hela ninazo mbwelele yy mwenyewe anajua ila kumpina MTU nk muhimu ujueUnaonaje ukafanya kazi yako
Acha kumchuna mwenzako
Dawa yenu ndio hiyo nampa respect jamaa mpaka uzae nae ndio atakupa hela kaona mbele tena mbali sana
Eti akupe pesa now alafu baadae umsaliti![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hili wazo la jamaa yako nitalifanyia kazi siku sio nyingi
Asante kwa ushauri wakoDalili ya mvua ni mawingu. Huyo hata ukimzalia hatokupa, ni mbahili tu.
Nina pesa MTU wangu ila kwa upande mwingine lzm umpime ujue huyu nk MTU wa aina gani co unakurupuka tuTafuta pesa mama..kuna wenzako hatujui hizo hela za wanaume hatujui take home kutoka kwa hao wanaume...tafuta za kwako tu...pesa sio kila kitu ...cha mtu mavi tafuta chako..kwa sababu anazo ndo maana anakunyima ..ila nahisi hakupendi na shida yake ni mtoto ..mapenzi ni kwenye shida na raha bila shaka huyo atakuwa ni mpare ..
Naona hujaelewa post umekurupuka tuUnjua hawa wanawake sijui huwa wanafikiri wanaume no bot kuna wengine hawajui kuwa pesa hasa kwa wakat huu inakuwa na ratiba nyingi za msingi yeye anatanua miguu to nataka pesa sio enz zile izi bana hata kama Nina pesa ming sio za kugawa c nanunua kiwanja too maana unampa akitoka hapo anaomba kwa lijamaa lingine me naona asikiupe too kwanza inaonekana hujitambui wewe ndo maana hakuthamin shubaaamiti
Hao ndo wanaume ninao wapenda.Bahari za leo ndugu zangu,
Naombeni ushauri ndugu zangu,
Naona hili jambo kama linaniweka njia panda vile. Nina mwanaume mmoja ni rafiki yangu kimapenzi, ila tatizo lake kubwa ni kwamba hajui kusaidia na ikitokea nikawa na shida nikamuomba jambo kapesa kidogo yeye hanipi ila anasema tu mimi ukizaa na mimi ndio nitakupa hela.
Ndugu zangu huyu naona hanifai hata kidogo.
USHAURI WENU WAPENDWA
Ivi unafikaje na mtu kote uko kama hata mambo madogo tu anashindwa kukushawishi uridhike nae... Hata ayo madogo tu anashindwa kumsaidia anaweka mashart!!! Hajapenda bhn weee.Mantiki ya neno ukizaa na yeye ni kipimo tu cha kutaka kujua mustakabali wa penzi lenu je upo tayari kuwa na yeye. Sio awe anakugharamikia kwa kila kitu halafu kumbe wewe una malengo yako binafsi baadae ukamuacha njia panda na kumkimbia.
Jamaa anaonekana historia yake ameshaumizwa sana mpaka hana imani na wewe mpaka umkubalie kumzalia ili hata ukimuacha ataendelea kuwa na mwanae. Hakuna haja ya yeye kupoteza pesa zaidi kama wewe huna muelekeo kuna baadhi ya ishara ameziona kutoka kwako na hakuelewi elewi msimamo wako ndo maana hataki kuingia kichwa kichwa
Ntamuona bwabwa kweli uyo dada akifanya unachomwambiaAsa si uzae nae tu kama anavyotaka?
Kujuana ni kusaidiana... Na hapo kwenye shida ndio penye kipimo cha upendo.... Akufaaae kwa dhiki............Hivi tunaingia kwenye mapenzi ili tuwe tunasaidia/kusaidiwa?
Na wewe acha mambo ya kizamani.... Alimaanisha ivo ndio, kw iyo ulitakaje!!!!Kwenye blue ulimaanisha hivo? Any way, bila msaada wake kwako hamuwezi kuishi? Humpendi wewe na huo ndio mtego wake kwako
Wit weeee kula tano shoga angu!!Limwanaume lisilokupa hela la nini? Na zile shombo zao sasa hata hela ya sabuni ya huko chini hakupi? Anazidi kukutanua tu kiharage chako,shoga una moyo!![]()
![]()
![]()
Hebu tupa kule takataka hiyoo,....mxiuuuu
Limwanaume lisilokupa hela la nini? Na zile shombo zao sasa hata hela ya sabuni ya huko chini hakupi? Anazidi kukutanua tu kiharage chako.
Wengine wamekeketwa kiharage hawana wanakisikia tu,