Ushauri: Mwanaume hapendi kunisaidia

Ushauri: Mwanaume hapendi kunisaidia

Unaonaje ukafanya kazi yako
Acha kumchuna mwenzako
Dawa yenu ndio hiyo nampa respect jamaa mpaka uzae nae ndio atakupa hela kaona mbele tena mbali sana
Eti akupe pesa now alafu baadae umsaliti
Hili wazo la jamaa yako nitalifanyia kazi siku sio nyingi
 
Dalili ya mvua ni mawingu. Huyo hata ukimzalia hatokupa, ni mbahili tu.
 
Bahari za leo ndugu zangu,

Naombeni ushauri ndugu zangu,

Naona hili jambo kama linaniweka njia panda vile. Nina mwanaume mmoja ni rafiki yangu kimapenzi, ila tatizo lake kubwa ni kwamba hajui kusaidia na ikitokea nikawa na shida nikamuomba jambo kapesa kidogo yeye hanipi ila anasema tu mimi ukizaa na mimi ndio nitakupa hela.

Ndugu zangu huyu naona hanifai hata kidogo.

USHAURI WENU WAPENDWA

Tafuta pesa mama..kuna wenzako hatujui hizo hela za wanaume hatujui take home kutoka kwa hao wanaume...tafuta za kwako tu...pesa sio kila kitu ...cha mtu mavi tafuta chako..kwa sababu anazo ndo maana anakunyima ..ila nahisi hakupendi na shida yake ni mtoto ..mapenzi ni kwenye shida na raha bila shaka huyo atakuwa ni mpare ..
 
Unjua hawa wanawake sijui huwa wanafikiri wanaume no bot kuna wengine hawajui kuwa pesa hasa kwa wakat huu inakuwa na ratiba nyingi za msingi yeye anatanua miguu to nataka pesa sio enz zile izi bana hata kama Nina pesa ming sio za kugawa c nanunua kiwanja too maana unampa akitoka hapo anaomba kwa lijamaa lingine me naona asikiupe too kwanza inaonekana hujitambui wewe ndo maana hakuthamin shubaaamiti
 
Unaonaje ukafanya kazi yako
Acha kumchuna mwenzako
Dawa yenu ndio hiyo nampa respect jamaa mpaka uzae nae ndio atakupa hela kaona mbele tena mbali sana
Eti akupe pesa now alafu baadae umsaliti
Hili wazo la jamaa yako nitalifanyia kazi siku sio nyingi
Hela ninazo mbwelele yy mwenyewe anajua ila kumpina MTU nk muhimu ujue
Huwa cmtegemei MTU kamwe
 
Tafuta pesa mama..kuna wenzako hatujui hizo hela za wanaume hatujui take home kutoka kwa hao wanaume...tafuta za kwako tu...pesa sio kila kitu ...cha mtu mavi tafuta chako..kwa sababu anazo ndo maana anakunyima ..ila nahisi hakupendi na shida yake ni mtoto ..mapenzi ni kwenye shida na raha bila shaka huyo atakuwa ni mpare ..
Nina pesa MTU wangu ila kwa upande mwingine lzm umpime ujue huyu nk MTU wa aina gani co unakurupuka tu
Hapo ulikuwa nk mtego tu kumjua vema tabia
 
Unjua hawa wanawake sijui huwa wanafikiri wanaume no bot kuna wengine hawajui kuwa pesa hasa kwa wakat huu inakuwa na ratiba nyingi za msingi yeye anatanua miguu to nataka pesa sio enz zile izi bana hata kama Nina pesa ming sio za kugawa c nanunua kiwanja too maana unampa akitoka hapo anaomba kwa lijamaa lingine me naona asikiupe too kwanza inaonekana hujitambui wewe ndo maana hakuthamin shubaaamiti
Naona hujaelewa post umekurupuka tu
 
Bahari za leo ndugu zangu,

Naombeni ushauri ndugu zangu,

Naona hili jambo kama linaniweka njia panda vile. Nina mwanaume mmoja ni rafiki yangu kimapenzi, ila tatizo lake kubwa ni kwamba hajui kusaidia na ikitokea nikawa na shida nikamuomba jambo kapesa kidogo yeye hanipi ila anasema tu mimi ukizaa na mimi ndio nitakupa hela.

Ndugu zangu huyu naona hanifai hata kidogo.

USHAURI WENU WAPENDWA
Hao ndo wanaume ninao wapenda.
Pesa kivyake na mapenzi kivyake
 
Mwanaume anaekupenda anakuwekeaje vimasharti hata pale unapokua na shida??? Sio mpaka anaekufukuza akuambie toka...
 
Mantiki ya neno ukizaa na yeye ni kipimo tu cha kutaka kujua mustakabali wa penzi lenu je upo tayari kuwa na yeye. Sio awe anakugharamikia kwa kila kitu halafu kumbe wewe una malengo yako binafsi baadae ukamuacha njia panda na kumkimbia.

Jamaa anaonekana historia yake ameshaumizwa sana mpaka hana imani na wewe mpaka umkubalie kumzalia ili hata ukimuacha ataendelea kuwa na mwanae. Hakuna haja ya yeye kupoteza pesa zaidi kama wewe huna muelekeo kuna baadhi ya ishara ameziona kutoka kwako na hakuelewi elewi msimamo wako ndo maana hataki kuingia kichwa kichwa
Ivi unafikaje na mtu kote uko kama hata mambo madogo tu anashindwa kukushawishi uridhike nae... Hata ayo madogo tu anashindwa kumsaidia anaweka mashart!!! Hajapenda bhn weee.
 
Limwanaume lisilokupa hela la nini? Na zile shombo zao sasa hata hela ya sabuni ya huko chini hakupi? Anazidi kukutanua tu kiharage chako,shoga una moyo!


Hebu tupa kule takataka hiyoo,....mxiuuuu
Wit weeee kula tano shoga angu!!
 
Back
Top Bottom