Ushauri: Mwanaume hapendi kunisaidia

Ushauri: Mwanaume hapendi kunisaidia

nadhani unaamini JF kuna wanaume wa kukusaidia
Jisepe zako huko
Ukiwa huna cha ku -comment kaa kimya
Watu tuna heshima zetu ujue
We leta choko choko tu
Hakuna atakae kujibu ovyo hapa
Chokonoa uwezavyo mie ctakujibu kitu
Usinitafutie ban mtoto wa watu bure
 
Mantiki ya neno ukizaa na yeye ni kipimo tu cha kutaka kujua mustakabali wa penzi lenu je upo tayari kuwa na yeye. Sio awe anakugharamikia kwa kila kitu halafu kumbe wewe una malengo yako binafsi baadae ukamuacha njia panda na kumkimbia.

Jamaa anaonekana historia yake ameshaumizwa sana mpaka hana imani na wewe mpaka umkubalie kumzalia ili hata ukimuacha ataendelea kuwa na mwanae. Hakuna haja ya yeye kupoteza pesa zaidi kama wewe huna muelekeo kuna baadhi ya ishara ameziona kutoka kwako na hakuelewi elewi msimamo wako ndo maana hataki kuingia kichwa kichwa
Yani kama ulijua vile
Eti wanawake ni wajanja sana anasema
 
Hapo ukishabeba mimba story yako inaishia hapo, huna mimba hawez kukusaidia, ukishabeba ndio atakujali huyo anakutumia kwa starehe tu na Hana mapenz ya kwel mana mapenz ya kwel nikusaidiana katika shida na raha, nafikir ushasema hakufai hop Hilo ni wazo la moyo wako mana unambiwa sikiliza mashaur yote ila mwisho sikiliza moyo wako unasemaje kuhusiana na Hilo mana moyo hua haudanganyi
Upo sahihi kabisa
 
Nyie si ndio wale manaosomeshwa na wanaume alafu mkimaliza elimu mnaleta dharau na vijembe kisha mnawasahau kabisa na kusema taja gharama zako nikurudishie????
Hata wewe hufai kuwa naye
Duh !
Co wote wenye Tabia hizo
 
Bahari za leo ndugu zangu,

Naombeni ushauri ndugu zangu,

Naona hili jambo kama linaniweka njia panda vile. Nina mwanaume mmoja ni rafiki yangu kimapenzi, ila tatizo lake kubwa ni kwamba hajui kusaidia na ikitokea nikawa na shida nikamuomba jambo kapesa kidogo yeye hanipi ila anasema tu mimi ukizaa na mimi ndio nitakupa hela.

Ndugu zangu huyu naona hanifai hata kidogo.

USHAURI WENU WAPENDWA
Kwani usingekua nae nani angekusaidia?? Kama unauza si umwambie tu awe analipia bili
 
Hili ni tangazo au unahitaji ushauri kweli? Kwenye andishi lako dada yangu unaonekana umeshahitimisha tayari.

Halafu kuna vitu kwenye uhusiano wenu ambavyo viko nyuma ya pazia hujatuambia. Hii ni one-sided story!! Simtetei hata kidogo lakini labda jamaa has smelt a rat in you !!!
 
Back
Top Bottom