Ushauri: Mwanaume hapendi kunisaidia

Ushauri: Mwanaume hapendi kunisaidia

Bahari za leo ndugu zangu,

Naombeni ushauri ndugu zangu,

Naona hili jambo kama linaniweka njia panda vile. Nina mwanaume mmoja ni rafiki yangu kimapenzi, ila tatizo lake kubwa ni kwamba hajui kusaidia na ikitokea nikawa na shida nikamuomba jambo kapesa kidogo yeye hanipi ila anasema tu mimi ukizaa na mimi ndio nitakupa hela.

Ndugu zangu huyu naona hanifai hata kidogo.

USHAURI WENU WAPENDWA
Nyie si ndio wale manaosomeshwa na wanaume alafu mkimaliza elimu mnaleta dharau na vijembe kisha mnawasahau kabisa na kusema taja gharama zako nikurudishie????
Hata wewe hufai kuwa naye
 
Jamaa yupo sahihi maana nyinyi nivigeugeu kuzaa nae itakua commitment
 
Limwanaume lisilokupa hela la nini? Na zile shombo zao sasa hata hela ya sabuni ya huko chini hakupi? Anazidi kukutanua tu kiharage chako,shoga una moyo!


Hebu tupa kule takataka hiyoo,....mxiuuuu
 
pengine hataki kuwa ''sponsor''
 
Nyie si ndio wale manaosomeshwa na wanaume alafu mkimaliza elimu mnaleta dharau na vijembe kisha mnawasahau kabisa na kusema taja gharama zako nikurudishie????
Hata wewe hufai kuwa naye
Mie co wa hivyo ndugu
 
Bahari za leo ndugu zangu,

Naombeni ushauri ndugu zangu,

Naona hili jambo kama linaniweka njia panda vile. Nina mwanaume mmoja ni rafiki yangu kimapenzi, ila tatizo lake kubwa ni kwamba hajui kusaidia na ikitokea nikawa na shida nikamuomba jambo kapesa kidogo yeye hanipi ila anasema tu mimi ukizaa na mimi ndio nitakupa hela.

Ndugu zangu huyu naona hanifai hata kidogo.

USHAURI WENU WAPENDWA
nadhani unaamini JF kuna wanaume wa kukusaidia
 
Mi naona huyo anakufaa we komaa naye mpaka uzae
 
Back
Top Bottom