kama hujitumi utaendesha baiskeli mpaka akili ikukae sawa.JF sasa hivi karibu kila mtu ana gari au ndio zile NOAH za makinikia zimeshatoka tuambizane na mimi nikachukue lisijepigwa mnada!
kama hujitumi utaendesha baiskeli mpaka akili ikukae sawa.JF sasa hivi karibu kila mtu ana gari au ndio zile NOAH za makinikia zimeshatoka tuambizane na mimi nikachukue lisijepigwa mnada!
dah kweli wivu ni ugonjwa mbaya.Nimejifunza vitu vingi humu JF. Kuna watu ukisema una gari wanachukia, ukisema una nyumba wanachukia,ukisema umeenda vacation SA,US etc wanachukia. Ukitaka wafurahi wewe sema leo asubuhi wakati nagombea daladala kiatu kimebanduka soli au leo mama mwenye nyumba katupa vyombo nje sina kodi watafurahi sana.
Acha ubahili mpeleke weekend South Africa mpige shopping ya kueleweka
Chooni tena mkuu?
Aisee tena sio wewe tu kuna wengine wanne..huyo ataka kucharazwa hajui kama wamzaaChooni tena mkuu?

Yaani vitu vingine buana,unampa hela hanunui nguo nzuri,kwa nini sasa wewe usiwe unamnunulia hapo mwenge umletee avae?,au umekuja kuleta tangazo la lift na kuhonga laki mbili ya kusuka?,au unataka ushauriwe nini?Wakuu habari zenu,
Mimi nina msichana wangu nikajua nitakubadilisha, cha kushangaza nampatia hela ili aweze kwenda Mwenge pale asagule sagule kwenye mitumba lakini mwenzangu ndo hamna kabisa.
Anavaa minguo mibaya kama ya wanaume, mda mwingine nikiwa napita Mwenge naona watu wamependeza kinadada wapo busy na kusagula sagula, natamani hata kuwapa lifti niongee nao.
Najaribu sana kumwambia huyu mpenzi wangu kila mwisho wa mwezi nampa laki 2 asuke anunue vinguo vizuri lakini wapi, mpaka mimi mda mwingine naenda naunua namletea lakini ndo hivyo hata urembo mwenzangu haujui, na mimi napenda mwanamke mrembo wakati namchukua nilijua nitambadilisha ila sasa nanyoosha mikono natamani nimpige tu chini.
Naombeni ushauri.
Ukinununa unipe hata lift nitoe nuksi...Ipo siku.