Ushauri: Msichana wangu anavaa vibaya

Ushauri: Msichana wangu anavaa vibaya

JF sasa hivi karibu kila mtu ana gari au ndio zile NOAH za makinikia zimeshatoka tuambizane na mimi nikachukue lisijepigwa mnada!
Hahahaha siku ukienda kuchukua NOAH nishtue kamanda naona watu wameanza kuchukua zao
 
Cku ukinasa ndo mm natakuja kujutoa kwa kukusukumia nyama, kula wa wengine na anayehitaji hii dawa aje inbo. Impatie, nataka tukomeshe wanaopenda wake za watu, nimepewa kutoka kenya, mwenzangu katest kigoma mtu kanasa.
wenzio wana dawa ya kuiua nguvu hiyo yako......wanaouza anti virus ndio watengeneza virus pia.....
 
unampa mshahara kila mwezi Hongera zake.
sema unatakiwa kujua kuwa kuvaa ni kipaji kama vipaji vingine ,lazima kuwe asili yako...
na ndio maana kuna ma engineer na ma designer...
kama unataka mtu stylish ni heri umtafute aliekamili kabisa au utafute ambae ana muelekeo fulani ila kakosa ela tu yakununua vitu vizuri....
kuvaa vizuri kunaendana na mwendo ,kila nguo ina mwendo wake...huwezi tembelea suruali mwendo wa gauni....au mwendo wa dera utembelee sketi.

unachojaribu kufanya ni kuchange Fact kuwa huyo bibie hajui kuvaa sio mikato yako, tafuta mikato yako utulizane
 
Wakuu habari zenu,

Mimi nina msichana wangu nikajua nitakubadilisha, cha kushangaza nampatia hela ili aweze kwenda Mwenge pale asagule sagule kwenye mitumba lakini mwenzangu ndo hamna kabisa.

Anavaa minguo mibaya kama ya wanaume, mda mwingine nikiwa napita Mwenge naona watu wamependeza kinadada wapo busy na kusagula sagula, natamani hata kuwapa lifti niongee nao.

Najaribu sana kumwambia huyu mpenzi wangu kila mwisho wa mwezi nampa laki 2 asuke anunue vinguo vizuri lakini wapi, mpaka mimi mda mwingine naenda naunua namletea lakini ndo hivyo hata urembo mwenzangu haujui, na mimi napenda mwanamke mrembo wakati namchukua nilijua nitambadilisha ila sasa nanyoosha mikono natamani nimpige tu chini.

Naombeni ushauri.
Mnunulie vizuri avae km anavaa vibaya
 
Ndege wafananao huruka pamoja...


Weka picha yako na ya mpenzi wako, nitakuambia tatizo lipo wapi...



Cc: mahondaw
 
Hajui kupangilia, aisee hapendezi km wengine naowaona
mkuu umependa waridi bas vumilia miiba, weka msisitizo unapoongea nae onyeshwa kukerwa na tabia hiyo mrekebishe kama anakupenda atabadilika niamini
 
Hivi bado kuna watu mnaona gari big deal zama hizi? Gari hadi 3m unapata? Mnapenda kusikia stori watu wanapata shida tu mtu akisimulia vitu fulani vidogo nongwa.
Yani kuna watu wanadhani maisha wanayoishi wao basi ndio kila mtu awe hivyo.


Mtu akiwa na mali zake akisema kuna tatizo gani kwnz ndio vzr ananipa challenge namm niongeze bidii nipate vyangu. Kama mtu umeshakata tamaa na maisha uliyonayo basi waache wenzio waendelee
 
fb3e87407209235eb0cb6f4bbb3114dd.jpg



Hebu angalia wangu anavyovaa wala silalamiki
 
Kama anavitu vifatavyo usimuache;
1.anamatako makubwa na lakini
2.mbunifu kitandAni.
Hayo ya sijui hajui kuvaa ,sijui hajui kununua nguo ni ya ziada tu, kwani unahehedana naye akiwa kavaa nguo?
 
Yani kuna watu wanadhani maisha wanayoishi wao basi ndio kila mtu awe hivyo.


Mtu akiwa na mali zake akisema kuna tatizo gani kwnz ndio vzr ananipa challenge namm niongeze bidii nipate vyangu. Kama mtu umeshakata tamaa na maisha uliyonayo basi waache wenzio waendelee
Nimejifunza vitu vingi humu JF. Kuna watu ukisema una gari wanachukia, ukisema una nyumba wanachukia,ukisema umeenda vacation SA,US etc wanachukia. Ukitaka wafurahi wewe sema leo asubuhi wakati nagombea daladala kiatu kimebanduka soli au leo mama mwenye nyumba katupa vyombo nje sina kodi watafurahi sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom