Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
Si umfukuze kazi maana amekukosea adabu
kama ana shape nzuri kuliko mkewe jevitu vingne kujiendekeza tu...... na wewe unategwa na kutegeka
Hilo pepo linalenga kukuangamiza, Ukishatembea nae kila kitu chako kiuchumi kitaporomoka kwa kasi ya ajabu. Ndio watu wengi shetani anavyowatega na kuwaangusha.Kweli mkuu siwez kujalibu . Heshima itakua hamna
Ni mawazo yako hayoJalibu kushinda kanga moja tu na mgeni .ndio utajua kama hajakulalua
Asante Mkuu ushauri umekubalika . Nipo kwenye ndoa. Hawa wadada wana majalibu sanaKama hujaoa, si umweleze tu yanayokusibu? Sio umbake, mpe ukweli taratibu akuelewe ili abadilike au atatue shida yako.
Kama umeoa, hiyo ni appetizer ya kumtafuna mkeo usiku kucha.
On a serious note, housegirl kuvaa kanga moja linakuwaje tatizo kwako kama unajielewa? Huyo ni kama binti yako, kwanini ukwazike kwa mavazi yake? Kuwa serious na utafute mwanamke nje atakaekidhi haja zako na sio kujishusha kwa kumtamani mtumishi wako wa ndani maana itakugharimu na inaweza kumharibia maisha huyo binti.
Hivi haiwezekani hii kitu eeh?Mwanaume mzima unarudi home mapema tena kabla ya mkeo?? hivi huna hata marafiki??
na wewe mtege na boxer, hapo mtakuwa sare sare maua
Ahaaa ni shida sana mtu kuomba ushauri wakati tayari ana maamuzi yakeNaombeni ushauri jamani nipo njia panda,
House girl wangu ananitega sana kwani mimi huwa nawahi kurudi kwenye mihangaiko, tatizo linakuja huwa anashinda na kanga moja tu. Kila siku nakemea pepo la kumtaka.
Nifanyaje maana maji yapo shingoni na mimi bado kijana mwili unachemka.
Ushauri please
Mwambie mkeo mumrudisheNaombeni ushauri jamani nipo njia panda,
House girl wangu ananitega sana kwani mimi huwa nawahi kurudi kwenye mihangaiko, tatizo linakuja huwa anashinda na kanga moja tu. Kila siku nakemea pepo la kumtaka.
Nifanyaje maana maji yapo shingoni na mimi bado kijana mwili unachemka.
Ushauri please