Ubavu
JF-Expert Member
- Jun 19, 2012
- 2,790
- 3,272
Sasa wewe umemfungia Dada wa watu nyumbani kwako unategemea nini ?! Kama hautaki kumsaidia mpatie likizo hata week Moja! Akirudi angalia kama atakutega tena.. ! Kama hauwezi kutoa hiyo likizo haunabudi zaidi ya kumpatia haki yake... Sawa ?!Nimehisi labda tumekaa nae miaka miwili hajakutana kimwili ..joto lipo juu