Buhongwa Kwetu
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 264
- 171
Teh teh teh hali ngumu mkuu viti virefu havikalikiMwanaume mzima unarudi home mapema tena kabla ya mkeo?? hivi huna hata marafiki??
Teh teh teh hali ngumu mkuu viti virefu havikalikiMwanaume mzima unarudi home mapema tena kabla ya mkeo?? hivi huna hata marafiki??
Ndio maana nkaja uku kuomba ushauri.
Wewe ni Ommy Dimpoz nini? Jogoo hapandi mtungi sio bure! sasa huyo sharobaro jirani yako akianza kumpiga miti roho isije anza kukuuma, maana umeshindwa kaziNaombeni ushauri jamani nipo njia panda,
House girl wangu ananitega sana kwani mimi huwa nawahi kurudi kwenye mihangaiko, tatizo linakuja huwa anashinda na kanga moja tu. Kila siku nakemea pepo la kumtaka.
Nifanyaje maana maji yapo shingoni na mimi bado kijana mwili unachemka.
Ushauri please
Fanya Mazoez kwa House Girl kabla ya Mechi kwa mke wako mkuuNaombeni ushauri jamani nipo njia panda,
House girl wangu ananitega sana kwani mimi huwa nawahi kurudi kwenye mihangaiko, tatizo linakuja huwa anashinda na kanga moja tu. Kila siku nakemea pepo la kumtaka.
Nifanyaje maana maji yapo shingoni na mimi bado kijana mwili unachemka.
Ushauri please
mkuu hata soda??Teh teh teh hali ngumu mkuu viti virefu havikaliki
Naombeni ushauri jamani nipo njia panda,
House girl wangu ananitega sana kwani mimi huwa nawahi kurudi kwenye mihangaiko, tatizo linakuja huwa anashinda na kanga moja tu. Kila siku nakemea pepo la kumtaka.
Nifanyaje maana maji yapo shingoni na mimi bado kijana mwili unachemka.
Ushauri please
Hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa..Kwani huyo hg wako ana chura, kama hana hata akivaa khanga moja shida iko wapi?
Na wewe mtege Ili wote mtegane.Naombeni ushauri jamani nipo njia panda,
House girl wangu ananitega sana kwani mimi huwa nawahi kurudi kwenye mihangaiko, tatizo linakuja huwa anashinda na kanga moja tu. Kila siku nakemea pepo la kumtaka.
Nifanyaje maana maji yapo shingoni na mimi bado kijana mwili unachemka.
Ushauri please
Hakuna namna nyingine kwa kwelijaribu kuomba ushauri kwa mkeo kwanza
Mkuu kesho ukimkuta hivyo muite aje karibu yako huku mmesimama Mwambie fumba macho KATA KOFI KAMA MBILI HEAVY Huku unamwambia kwanzia Leo akome Kukaa kihasara hasara hivyo!!?





Mimi siwezi kwenda kunywa soda bar mkuum
mkuu hata soda??