kijana wa leo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2011
- 2,976
- 7,299
Kumbuka ; HAKUNA HOUSE GIRL MGUMBA
Ina maana kizaz chao kipo karibu kuliko cha mkeHakuna binadam anaeshika mimba haraka kama housegirl! Kuwa makini bro
The right wayKulia ndio wapi sasa.
Only ant christ can say thisni asiri kutembea na vija kazi ata ukisoma bible imeandika jinsi manabii walivyofanya hivyo kwa wajakazi wao...kama unaona inafaa tembea nae tuu...si wako tena yupo mlangoni kwako..nani wa kukuzuia? au unataka wenzio wasiomgalamia wakusaidie kula?
Naombeni ushauri jamani nipo njia panda,
House girl wangu ananitega sana kwani mimi huwa nawahi kurudi kwenye mihangaiko, tatizo linakuja huwa anashinda na kanga moja tu. Kila siku nakemea pepo la kumtaka.
Nifanyaje maana maji yapo shingoni na mimi bado kijana mwili unachemka.
Ushauri please