Ushauri: Msichana wa kazi 'ananitega'

Ushauri: Msichana wa kazi 'ananitega'

Sasa marafiki ndio naishia viti vrefu. Sisi wengne wajasiriamali tuko free
bora viti virefu utajiepusha na vingi na si kuwahi kurud utakuja pata kesi kibao na kuanza kumfatilia mkeo kwa vitu vya kipuuzi
 
Ana matendo kama ya huyu
1476812830452.jpg
 
Mkuu ww si ni boss au kama vp mwambie mkeo ampe dress code huyo hg. Otherwise unamtaka
 
Kula bana, kwanza thawabu maana akaliwe na nani? Ila tumia kinga asijepata ujauzito ambao hukupanga, kama unataka mtt piga kavu, kwanza utamsaidia kweeel
 
Naombeni ushauri jamani nipo njia panda,

House girl wangu ananitega sana kwani mimi huwa nawahi kurudi kwenye mihangaiko, tatizo linakuja huwa anashinda na kanga moja tu. Kila siku nakemea pepo la kumtaka.

Nifanyaje maana maji yapo shingoni na mimi bado kijana mwili unachemka.

Ushauri please
Kwa hiyo ungekuwa una shamba boy arafu ana tabia ya ku.dinda mbele yako ungekuja kutuomba ushauri wa kumpa tak.o lako? Watu wengine wanatulazimisha tubariki unzinzi wao
 
Back
Top Bottom