Ushauri: Msichana wa kazi 'ananitega'

Ushauri: Msichana wa kazi 'ananitega'

Wewe umeshapiga , unatusumbua akili zetu hapa! Ndivyo mlivyo mkishapiga mnaanza kutangaza indirect! Eti naomba ushauri wakati ushanogewa tayari! Endeleza kudusua tu hadi avimbe miezi 9.
 
We mle tuu coz usipo mla ataenda haingaika huko nje ila kua makin mkeo asijue
 
Naombeni ushauri jamani nipo njia panda,

House girl wangu ananitega sana kwani mimi huwa nawahi kurudi kwenye mihangaiko, tatizo linakuja huwa anashinda na kanga moja tu. Kila siku nakemea pepo la kumtaka.

Nifanyaje maana maji yapo shingoni na mimi bado kijana mwili unachemka.

Ushauri please
Ivi na wewe unaitwa baba na kuitika kabisa?

Kwa iyo ndugu yako au mwanao akikutaka ushauri kwenye jambo hilo utashindwa kumpa ushauri wowote mpaka uje uulize huku?
 
Mleta uzi unakuta tayari kishaanza kurusha ndoano zake, sasa anaona dalili za kunasa Ndio anajifanya anategwa, mzee naona unatafuta uwanja wa mazoezi
 
Ivi na wewe unaitwa baba na kuitika kabisa?

Kwa iyo ndugu yako au mwanao akikutaka ushauri kwenye jambo hilo utashindwa kumpa ushauri wowote mpaka uje uulize huku?
Naona hapa lugha gongana
 
Naombeni ushauri jamani nipo njia panda,

House girl wangu ananitega sana kwani mimi huwa nawahi kurudi kwenye mihangaiko, tatizo linakuja huwa anashinda na kanga moja tu. Kila siku nakemea pepo la kumtaka.

Nifanyaje maana maji yapo shingoni na mimi bado kijana mwili unachemka.

Ushauri please
Mchape nao akuheshimu, vinginevyo atakuletea bazazi ndani.
 
ha ha ha ha mkuu unajua principal za kina mama? ma house girl siku zote wanaletwa ambao hawamzid landlord



wengine ni wazuri,,anaeza kua mbya kwa sababu katoka bush,,ila akija town mara viotion na kusuka misosi miuri utashanga mkia huooo,,,,,,na ndo faza house navyoanza kula...na ingi vinakuaga tight huko chini basi full mautam
 
wengine ni wazuri,,anaeza kua mbya kwa sababu katoka bush,,ila akija town mara viotion na kusuka misosi miuri utashanga mkia huooo,,,,,,na ndo faza house navyoanza kula...na ingi vinakuaga tight huko chini basi full mautam
Una experience enhee mkuu
 
Back
Top Bottom