amenyamana mkulangoe
Member
- Mar 26, 2018
- 11
- 4
Mpenzi ninampenda nimuonapo tu ananisisimua sana kabla sijamuoa alikua ananiambia nimuoe kwanza ili anipe mambo nitakayo.
Sasa nimemuoa ndio imekua shida kupata mambo hataukiwa na hamu hakupi labda utumie nguvu. Haijawai kutokea kunipa kirahisi mpaka nimezira.
Naomba ushauri wenu tatizo nini au ana mtu anaye mchosha?
Sasa nimemuoa ndio imekua shida kupata mambo hataukiwa na hamu hakupi labda utumie nguvu. Haijawai kutokea kunipa kirahisi mpaka nimezira.
Naomba ushauri wenu tatizo nini au ana mtu anaye mchosha?