MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,159
- 5,399
Kwa taarifa yako umeoa mke wa mtu mke hawi hivyo.Lakini nakulaumu mwanaume hawi hivyo ulivyo toa maamzi magumu na mitihani mizito kwake hadi anyooke.Wanawake kibao hv warembo unakaa kuteswa na pimbi mmoja.Mpenzi ninampenda nimuonapo tu ananisisimua sana kabla sijamuoa alikua ananiambia nimuoe kwanza ili anipe mambo nitakayo.
Sasa nimemuoa ndio imekua shida kupata mambo hataukiwa na hamu hakupi labda utumie nguvu. Haijawai kutokea kunipa kirahisi mpaka nimezira.
Naomba ushauri wenu tatizo nini au ana mtu anaye mchosha?
Oa mwingine haraka sana au uko kijijini kusiko na wanawake wengi.