saidjamali
Member
- Dec 3, 2016
- 66
- 22
- Thread starter
- #61
Simtegemei chochote kile yaani mm ndo kila kitu kwake japo kwao wanapesa frsh tuje unamtegemea chochote hasa kwenye mapato ya familia??
hapo unapokaa ni kwake au kwako??
amekuzidi kipato??
maana mwanamke wa kiafrica akikuzidi kipato ni shidaaaa...