Ushauri: Mke wangu amekuwa haniheshimu

Ushauri: Mke wangu amekuwa haniheshimu

Kuna watu hamjui kumwacha mtu au akili zenu zinakuwaga mbovu....huwezi kunitukana mm na wazazi wangu halaf niombe ushauri


Utarudi kwenu ukiwa na meno pungufu ili uwe na adabu.



Pumbavu.
 
Kwanza poleni na majukumu
Wadau karibu miaka 3 sasa naishi na mke wangu toka nomwoe mpaka tumebahatika kupata mtoto moja na mpaka sasa ni mjamzito.
Kwa mwaka mmoja baada ya ndoa tumeishi vizuri sana kwanzia hapo mambo yakabadirika kwa mke wangu amekuwa ni mtu ambae anaweza ongea chochote anachojiskia bila kujali mm ni nani kwake amekuwa akishirikisha sana familia yangu kwa kutukana wazazi wangu ndugu zangu.yaani kifupi hana heshima hata kidogo kwa mtu yoyote yule
Natamani nimwache hata leo ila nahofia watoto
Basi napagawa maana nimekuwa mtu wa kuwaza muda wote kufikia hatua hata yakufikiria kufa maana anaboa kinoma.
inawezekana wewe ni jipu labda...
 
Matatizo yote yanaanzia ndani... Samahani ndugu yangu lakini inaonyesha uko dhaifu kitandani... Tafuta ushauri wa sexology waliopo karibu.
KUMBUKA :USIPOMPIGISHA KELELE MWANAMKE KITANDANI ATAKUJA KUPIGA KELELE BARAZANI.
Kaka unaweza fikiria hivyo lakini hata ww mwanamke kama huyo huwezi hata kuwa na hisia nae tena
 
Kuna watu hamjui kumwacha mtu au akili zenu zinakuwaga mbovu....huwezi kunitukana mm na wazazi wangu halaf niombe ushauri


Utarudi kwenu ukiwa na meno pungufu ili uwe na adabu.



Pumbavu.
Yeye matusi yote anakutukana kwa sms yaani unawwza zima simu
 
Kuna watu hamjui kumwacha mtu au akili zenu zinakuwaga mbovu....huwezi kunitukana mm na wazazi wangu halaf niombe ushauri


Utarudi kwenu ukiwa na meno pungufu ili uwe na adabu.



Pumbavu.
Eti ukiwa na meno pungufu
 
Kwanza poleni na majukumu,

Wadau, karibu miaka 3 sasa naishi na mke wangu toka nimuoe mpaka tumebahatika kupata mtoto moja na mpaka sasa ni mjamzito. Kwa mwaka mmoja baada ya ndoa tumeishi vizuri sana kuanzia hapo mambo yakabadilika.

Kwa mke wangu amekuwa ni mtu ambae anaweza ongea chochote anachojisikia bila kujali mimi ni nani kwake, amekuwa akishirikisha sana familia yangu kwa kutukana wazazi wangu ndugu zangu, yaani kifupi hana heshima hata kidogo kwa mtu yeyote yule. Natamani nimwache hata leo ila nahofia watoto.

Basi napagawa maana nimekuwa mtu wa kuwaza muda wote kufikia hatua hata ya kufikiria kufa maana anaboa kinoma.
Kwani umezaliwa nae tumbo moja mkuu??
 
No offence, ila inaonekana wewe ndio umeolewa, dume zima unalalamika ndugu yangu, mi nategemea ungekuja kuomba ushauri hapa unamrudiaje mkeo baada ya kumtengua kiuno kwa utovu wa nidhamu, sasa na wewe unakuja kulialia, aya bwana we endelea kutukwana labda upo ndoani kujifunza matusi.
 
sasa mkuu hilo ni la kuuliza... weka vibao yaan kila anapoanzisha weka makofi tena yale mtapisho... akiendelea mpe heshima yake!!!!
 
Mkuu naishi mbali na family yangu lakini tatizo kidogo lazima ahusishe family yangu mpaka mama yangu mzazi kasusa kuja kwangu kwa tabia yake
soryy unamwanamke mpumbavu mwee.. muignore ndiyo dawa mkuu miezi tu atakuwa na adabu
 
Kaka embu jaribu kujichunguza wewe mwenyewe.. vip unamrishisha mwenzio kitandani...?
Je mawifi hawampendi..?
Je unamsimamo wewe kama mwanaume?..
 
Piga, saa zingine akili zinakuja kwa kupiga
 
mkuu kufikiria kufa ni ujinga wa kiwango cha lami... kwanza jichunguze kwa nini kaanza hayo ? je wewe ni sababu?
kutokuheshimu ndugu zako jitahidi kama inawezekana akae nao mbali ili kuondoa maneno na malumbano yasiyo ya msingi..

sasanakupa fundisho kuanzia leo muignore atukane aongee shombo we kaa zako kimya,,.. wakija ndugu kukushtaki jikalie kimya ikikulazimu kuongea sanaa wambie jitafakari baada ya mwezi ukiona ndiyo anazidi achana na huyo mwanamke game over
Kwemaa!? Sijakutia machon
 
je unamtegemea chochote hasa kwenye mapato ya familia??

hapo unapokaa ni kwake au kwako??

amekuzidi kipato??

maana mwanamke wa kiafrica akikuzidi kipato ni shidaaaa...
 
Mkuu pole sana! Kama mwanzoni mliishi vizuri na sasa shida imeanza lazima kuna kitu hakiko sawa, yawezekana upande wako wewe au life style ya maisha yenu imebadilika kidogo!

Kama mwanzoni ulikuwa mtu wa kuonyesha kuwa uko vizuri ukawa unafanya mambo makubwa kwake, na sasa hayo mambo hayapo tena, ni dhahili hili huchangia sana wake zetu tabia zao kubadilika!

Mbaya zaidi aje agundue kuwa uliyokuwa unafanya mwanzoni mengi ilikuwa ni show off, mkuu hiinitakuwa shida kidogo!

Na kama labda hali ya uchumi ya kifamilia imetetereka na hujamwelewesha ukamjenga kisaikolojia hili nalo laweza kuwa moja ya sababu!

Wake zetu hawa huwa wanapenda kushirikishwa mambo mengi tangu mwanzoni, na tena kujengewa mazingira ya kujua kuwa mda wowote hali yaweza kubadilika na kuwa mbaya hivyo ikitokea hivyo mkae bega kwa bega!

Na kama kubadilika kwa tabia kwake hakukusababishwa na hali ya kiuchumi, vipi kuhusu mambo yetu yale ya wakubwa , Je unampeleka mpaka anapotaka au ndo safari huwa inaishia njiani kila siku? Hili nalo huwa ni chanzo cha dharau, kama lipo angalia jinsi ya kulitatua!
 
Back
Top Bottom